Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Hivi mtu umeendazako bar
Unapata kinywaji na washkaji
Mara mmoja anaanza kukuuliza maswali juu ya mke wako
ooh Je unamwamini sana..?
ooh mkeo ni mtakatifu eeeh?
ooh mara mkeo sijui vitu ganii..?
Yaani maswali juu ya mkeo tu!!!!1
Huyu mtu utamchukuliaje??
Au uta mfanyaje?
Maana umeshamwambia mie sipendi kuulizwa maswali au kuongelea mambo ya wake zetu bar
Lakini anaendelea.....
Unapata kinywaji na washkaji
Mara mmoja anaanza kukuuliza maswali juu ya mke wako
ooh Je unamwamini sana..?
ooh mkeo ni mtakatifu eeeh?
ooh mara mkeo sijui vitu ganii..?
Yaani maswali juu ya mkeo tu!!!!1
Huyu mtu utamchukuliaje??
Au uta mfanyaje?
Maana umeshamwambia mie sipendi kuulizwa maswali au kuongelea mambo ya wake zetu bar
Lakini anaendelea.....