kombo mzalendo
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 118
- 11
Habarini wanajamvi
HIVI HAWA HESLB wanataka watu wote waliosoma michepuo ya ARTS wote wawe walimu mana ndo facult yenye priority kwa watu wa arts.
PILI ina maana hizi kozi nyingine ni kweli hazina umuhimu kwa taifa ukitoa zile za science na UALIMU.
Nawasilisha.
HIVI HAWA HESLB wanataka watu wote waliosoma michepuo ya ARTS wote wawe walimu mana ndo facult yenye priority kwa watu wa arts.
PILI ina maana hizi kozi nyingine ni kweli hazina umuhimu kwa taifa ukitoa zile za science na UALIMU.
Nawasilisha.