Ina maana wahandisi wetu wa coet hawawezi??

Az 89

JF-Expert Member
Nov 20, 2011
1,658
691
Nimeshangazwa sana na hii hali ya kutoa tenda kwa wachina wakati kuna wataalam kibao kutoka COET-UDSM....kuna ujenzi wa student centre unaendelea hapa chuo wamepewa Wachina, kuzungusha uzio wa Mabati hata huo nao wachina! Hivi kuna haja gani ya kuzalisha wahandisi wasiotumika? Hili linakera sana..
 
Nimeshangazwa sana na hii hali ya kutoa tenda kwa wachina wakati kuna wataalam kibao kutoka COET-UDSM....kuna ujenzi wa student centre unaendelea hapa chuo wamepewa Wachina, kuzungusha uzio wa Mabati hata huo nao wachina! Hivi kuna haja gani ya kuzalisha wahandisi wasiotumika? Hili linakera sana..

Mkuu sijakuelewa? Una maana gani? Wewe unachanganya kati ya wakandarasi na Wahandisi. Mtu yoyote anaweza kuwa Mkandarasi ili mradi tu awe na Caapital. Uhandisi unapatikana kwa kusoma. Unajuaje kama kwenye hiyo kampuni ya Kichina hakuna wahandsi wa kibongo? Mkuu hao consultants waliopo hapo sio wabongo? Nazungumzia Structural Engineer, Service Engineer, Architect na Quantity Surveyor.

Mkuu hujui labda huo mradi unajengwa kwa niaba ya Watu wa China, unategemea atapewa mbongo?Miradi mingi ikijengwa kwa niaba ya Watu wa nchi nyingine, huwa wanakuja na kambuni zao.

Kumbuka kuna daraja litaanza jengwa kama sijakosea litakuwa Igunga, Wakandarasi wa Kibongo wamejiunga na kupewamradi huo. Hapa najiuliza wametumia vigezo gani, walishinda tenda?
 
Mkuu sijakuelewa? Una maana gani? Wewe unachanganya kati ya wakandarasi na Wahandisi. Mtu yoyote anaweza kuwa Mkandarasi ili mradi tu awe na Caapital. Uhandisi unapatikana kwa kusoma. Unajuaje kama kwenye hiyo kampuni ya Kichina hakuna wahandsi wa kibongo? Mkuu hao consultants waliopo hapo sio wabongo? Nazungumzia Structural Engineer, Service Engineer, Architect na Quantity Surveyor.

Mkuu hujui labda huo mradi unajengwa kwa niaba ya Watu wa China, unategemea atapewa mbongo?Miradi mingi ikijengwa kwa niaba ya Watu wa nchi nyingine, huwa wanakuja na kambuni zao.

Kumbuka kuna daraja litaanza jengwa kama sijakosea litakuwa Igunga, Wakandarasi wa Kibongo wamejiunga na kupewamradi huo. Hapa najiuliza wametumia vigezo gani, walishinda tenda?

ahsante mkuu kwa kunielewesha! Namaanisha wakandarasi wa kibongo ambao wengi wanazalishwa palepale(COET)...Wameshndwa kuchukua tenda za aina hii? Au ndo milungula inapita.
 
Back
Top Bottom