Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
According to IMF report 2019. Uchumi wa tz toka 2016 haukuwai kukuwa ( GDP) zaidi ya 6.8. Ambayo ni tofaut ya 7.0-7.1 tuliyokuwa tukitajiwa na viongozi wetu kwenye majukwaa ya kisiasa.
Inaonekana walikuwa wakitaja Projected GDP na sio real GDP.
Mwenye macho haambiwi ona na mwenye masikio haambiwi sikia. Wanasiasa wa Africa wanatakiwa kutambua kuwa " They can cheat election results but not economic principals
Inaonekana walikuwa wakitaja Projected GDP na sio real GDP.
Mwenye macho haambiwi ona na mwenye masikio haambiwi sikia. Wanasiasa wa Africa wanatakiwa kutambua kuwa " They can cheat election results but not economic principals