Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Ninashanga nimeipataje typhoid:
Tangu nije hapa Dar mwaka 2005 mpaka leo huwa nakunywa maji ya chupa tu, hata kupigia mswaki na kunawa uso ni maji ya chupa tu.
Sasa leo nimefika hospitali nikapimwa na kukutwa na typhoid na wataalam wanasema typhoid huambukizwa kwa kula kinyesi cha mgonjwa mwenye vijidudu...
Yani hapa I feel very very bad... Historically sijawahi kupimwa nikakutwa na typhoid. Leo ndio mara ya kwanza...
Sasa najiuliza nimeipataje maana wala hata sijawahi 'kupiga deki'...
Tangu nije hapa Dar mwaka 2005 mpaka leo huwa nakunywa maji ya chupa tu, hata kupigia mswaki na kunawa uso ni maji ya chupa tu.
Sasa leo nimefika hospitali nikapimwa na kukutwa na typhoid na wataalam wanasema typhoid huambukizwa kwa kula kinyesi cha mgonjwa mwenye vijidudu...
Yani hapa I feel very very bad... Historically sijawahi kupimwa nikakutwa na typhoid. Leo ndio mara ya kwanza...
Sasa najiuliza nimeipataje maana wala hata sijawahi 'kupiga deki'...