Si ni nyie mnaotuambia kaskazini wanajitambua?Ni muda zaidi ya mwenzi madiwani watano kutoka Jimbo la Arumeru Mashariki wameshajiuluzu nafasi zao .
Madiwani wote ambayo wamejiuzulu nafasi zao wanatoka upinzani kwenda CCM wote wametoa sababu zinafanana
kwamba wanaaachia nafasi zao za udiwani kwa ajili kuunga mkono utendaji wa Raisi Magufuli ina maana ni madiwani wa Arusha tu ndiyo wanaomuelewa Rais? inakuaje hawa madiwani wa hapa Dar es salaam ambao wako jirani naye hawamuelewi?
Imefikia hatua sasa mnapotutangazia diwani wa upinzani kajiuzulu, Msiache kutuambia kwenye zile Billion 2 mlizotenga kununua madiwani, Kila diwani ambaye anajiziulu kwa kumuunga mkono Raisi anapewa sh ngapi?
Leo limekuwa tatizo kwa madiwani kujitambua na kuamua kuachana na chama cha kisanii?