MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
1. Injinia Hersi alikuwa wapi tokea zamani kuja Kuipigania Yanga SC?
2. Injinia Hersi ni nani ndani ya Management ya Yanga SC hadi amekuwa ndiyo kila Kitu?
3. Injinia Hersi ni nani hadi kujua Uwezo wa Kocha Msaidizi na Mchezaji Mwandamizi Nizar Khalfan kiasi cha Kuchochea nae afukuzwe tena akiwa ana Mwezi Mmoja tu?
4. Injinia Hersi alipokuwa akiwaaminisha wana Yanga SC kuwa iwe isiwe Yanga SC itakuwa Bingwa na isipokuwa aulizwe Yeye huku akitamba Kusajili Migalasa tupu alikuwa akidhani wana Yanga SC ni Mambumbumbu au?
Haya mjibuni sasa Mimi leo nakaa Kimya.
2. Injinia Hersi ni nani ndani ya Management ya Yanga SC hadi amekuwa ndiyo kila Kitu?
3. Injinia Hersi ni nani hadi kujua Uwezo wa Kocha Msaidizi na Mchezaji Mwandamizi Nizar Khalfan kiasi cha Kuchochea nae afukuzwe tena akiwa ana Mwezi Mmoja tu?
4. Injinia Hersi alipokuwa akiwaaminisha wana Yanga SC kuwa iwe isiwe Yanga SC itakuwa Bingwa na isipokuwa aulizwe Yeye huku akitamba Kusajili Migalasa tupu alikuwa akidhani wana Yanga SC ni Mambumbumbu au?
Haya mjibuni sasa Mimi leo nakaa Kimya.