Ina maana Kikwete alikuwa hana macho au na yeye alikuwa mpiga dili?

Son of Gamba

JF-Expert Member
Oct 26, 2012
4,358
6,077
Tokea Rais Magufuli aingie madarakanai tumekuwa tukishuhudia kila aina ya "uozo na madudu" akiyaweka hadharani kiasi kwamba mtu unajiuliza hivi kwa kipindi chote cha miaka 10 iliyopita huyu Jakaya Kikwete alikuwa anafanya nini? Hii nchi haikuwa na Rais wala Serikali??

Uchafu wote ambao Rais Magufuli anahangaika nao leo hii, ulikuweko wakati Kikwete alipokuwa madarakani. Ina maana Kikwete alikuwa hana macho au na yeye alikuwa ni mpiga dili? Kila mahali nchi hii imeoza, hakuna sekta ambayo utasema iko salama; kila mahali wajanja wamepiga, hivi huyu Kikwete kazi yake ilikuwa nini? Hebu jaribuni kujionea wenyewe hii list ya uozo na madudu ya serikali ya Kikwete;
1-Serikalini kulikuwa na wafanyakazi hewa na Kikwete alichukua hatua gani?
2-Utoroshwaji wa madini nje ya nchi Kikwete alikuwa wapi?
3-Wizi wa mapato TRA, Kikwete alichukua hatua gani?
4-Bandarini palikuwa ni sawa na shamba la bibi, wajanja walikuwa wanajichumia pesa na Kikwete alikuwepo tu.
5-ESCROW wajanja walijichotea mapesa na kuyajaza kwenye mifuko ya sandarusi, Kikwete alifanya nini?
6-Utoroshwaji wa wanyama kwenda Ughaibuni, Kikwete alikuwepo tu kama picha
7-Mhasibu wa TAKUKURU kujilimbikizia majumba na magari, Kikwete yupo tu
8-TTCL kuuzwa kwa "buku" moja na Kikwete yupo tu
9-Akina Nyalandu kugawana vitalu vya uwindaji na ujangili kukithiri huku Tembo wakiuawa kila siku, Kikwete alikuwepo tu
10-Watu wanakwenda kufanya vikao vya Board Dubai na wengine kulipana posho za vikao hewa, na Kikwete yupo tu
11-Mashuleni kulikuwa hakuna madawati, yeye yupo tu
12-Mahospitalini wagonjwa walikuwa wanalala chini na yeye yupo tu
13-LUGUMI akizitafuna pesa za "polisi" na yeye yupo tu
14-Mikataba mibovu, na yeye alikuwepo tu
15-.....................

Hivi huyu Rais Kikwete kazi yake ilikuwa ni nini? Au kazi yake ilikuwa ni kwenda kucheza tu kwenye mabembea ya Ulaya?

bembea 1.jpg
bembea_2.jpg
bembea3.jpg

Amemwachachia Magufuli kazi nzito sana na yeye hakuna alichokuwa anakifanya. Mbaya zaidi ni siku ile anaingia Bungeni kwenda kuhudhuria Mkewe kuapishwa, eti Wabunge wakainuka na kumshangilia na kusema eti wamem-miss; SERIOUSLY?? Hivi sisi Watanzania tuna akili kweli? Hivi sisi Watanzania tumelogwa na nani?
Yapo madudu mengi sana yamefanyika, mimi nimechoka kuendelea kuandika. Hebu na ninyi ongezeeni hapo nilipoishia.
 
Mambo yote ulioyaandika hapo 80% aliyafanya mkapa,kikwete aliyaona lakini hakutaka kuahangaika nayo kiviile.

Ila naakuliza swali,
MAGUFULI PAMOJA UNASEMA ANAHANGAIKA NAYO,NI JAMBO GANI HADI SASA AMEFANIKIWA KULIWEKA SAWA,AU HUKO KUTOLOSHA MADIWANI NA WABUNGE WA UPINZANI,AU NI YALE MATAMKO YA KUONGEA KWA HISIA KALI WAKATI HAMNA HATA UMUHIMU WA KUKAKA MAA MISULI YA SHINGO.
kama ni hiyo.airtel ukumbuke ilibadilishwa jina kipindi chake JK baada kutajwa kwa uozo kama huu.

Magufuli hakuna alichofanikisha hadi sasa ni imla tu.ila tatizo wengi wenu ndio wale MABASHITE kama twaweza wanavyosema.
 
Tokea Rais Magufuli aingie madarakanai tumekuwa tukishuhudia kila aina ya "uozo na madudu" akiyaweka hadharani kiasi kwamba mtu unajiuliza hivi kwa kipindi chote cha miaka 10 iliyopita huyu Jakaya Kikwete alikuwa anafanya nini? Hii nchi haikuwa na Rais wala Serikali??

Uchafu wote
4-Bandarini palikuwa ni sawa na shamba la bibi, wajanja walikuwa wanajichumia pesa na Kikwete alikuwepo tu.

8-TTCL kuuzwa kwa "buku" moja na Kikwete yupo tu

na yeye yupo tu
14-Mikataba mibovu, na yeye alikuwepo tu
15-.....................

Hivi huyu Rais Kikwete kazi yake ilikuwa ni nini? Au kazi yake ilikuwa ni kwenda kucheza tu kwenye mabembea ya Ulaya?

View attachment 657944 View attachment 657945 View attachment 657946
Amemwachachia Magufuli kazi nzito sana na yeye hakuna alichokuwa anakifanya. Mbaya zaidi ni siku ile anaingia Bungeni kwenda kuhudhuria Mkewe kuapishwa, eti Wabunge wakainuka na kumshangilia na kusema eti wamem-miss; SERIOUSLY?? Hivi sisi Watanzania tuna akili kweli? Hivi sisi Watanzania tumelogwa na nani?
Yapo madudu mengi sana yamefanyika, mimi nimechoka kuendelea kuandika. Hebu na ninyi ongezeeni hapo nilipoishia.


Tatizo kubwa ni kuwa hakuwa na Baraza la Mawaziri
ila kabla ya Kuondoka madarakani ametuachia JPM
 
Sijaona zaidi ya kukaripia kwa ukali mpaka maneno ya mtaani unayatungia sheria watu wa darasa LA saba uliowaondoa kazini ni ukatili kwani hawakujiajiri wenyewe, na wewe mwenyewe ulisema Huna tatizo na watumishi wa serikali ambao elimu yao ni darasa LA saba kwani hawajadanganya vyeti vyao una shida na wafanyakazi waliodanganya vyeti vya kidato cha NNE cha sita na kuendelea Leo hii umewatesa hakuna kauli yeyote tangu July waliopoambiwa kuanzia sasa hata mishahara yenu iziuliwe kwani wameiba nini Bora kikwete anautu huwezi kusema unakuza uchumi ilihali wanyonge na wengineo umewapora haki zao Hayo machozi yao hakika yatawatafuna OK kama ndo hivyo walipeni haki zao .
 
Hata yeye atamaliza muda wake. Natabiri atajaribu kuongeza muda lakini hatafanikiwa.
Akisha toka, tutayaona mabaya yake. Wakati huo, tutagundua Kikwete alikuwa malaika.
Awamu hii ingawa wengine watashindwa kuamini - wala rushwa wamepungua (idadi yao), lakini rushwa (kiwango) imeongezeka maradufu!
Wala rushwa ni wateule wachache lakini wanapiga mno wakiongozwa naye.
 
Tokea Rais Magufuli aingie madarakanai tumekuwa tukishuhudia kila aina ya "uozo na madudu" akiyaweka hadharani kiasi kwamba mtu unajiuliza hivi kwa kipindi chote cha miaka 10 iliyopita huyu Jakaya Kikwete alikuwa anafanya nini? Hii nchi haikuwa na Rais wala Serikali??

Uchafu wote ambao Rais Magufuli anahangaika nao leo hii, ulikuweko wakati Kikwete alipokuwa madarakani. Ina maana Kikwete alikuwa hana macho au na yeye alikuwa ni mpiga dili? Kila mahali nchi hii imeoza, hakuna sekta ambayo utasema iko salama; kila mahali wajanja wamepiga, hivi huyu Kikwete kazi yake ilikuwa nini? Hebu jaribuni kujionea wenyewe hii list ya uozo na madudu ya serikali ya Kikwete;
1-Serikalini kulikuwa na wafanyakazi hewa na Kikwete alichukua hatua gani?
2-Utoroshwaji wa madini nje ya nchi Kikwete alikuwa wapi?
3-Wizi wa mapato TRA, Kikwete alichukua hatua gani?
4-Bandarini palikuwa ni sawa na shamba la bibi, wajanja walikuwa wanajichumia pesa na Kikwete alikuwepo tu.
5-ESCROW wajanja walijichotea mapesa na kuyajaza kwenye mifuko ya sandarusi, Kikwete alifanya nini?
6-Utoroshwaji wa wanyama kwenda Ughaibuni, Kikwete alikuwepo tu kama picha
7-Mhasibu wa TAKUKURU kujilimbikizia majumba na magari, Kikwete yupo tu
8-TTCL kuuzwa kwa "buku" moja na Kikwete yupo tu
9-Akina Nyalandu kugawana vitalu vya uwindaji na ujangili kukithiri huku Tembo wakiuawa kila siku, Kikwete alikuwepo tu
10-Watu wanakwenda kufanya vikao vya Board Dubai na wengine kulipana posho za vikao hewa, na Kikwete yupo tu
11-Mashuleni kulikuwa hakuna madawati, yeye yupo tu
12-Mahospitalini wagonjwa walikuwa wanalala chini na yeye yupo tu
13-LUGUMI akizitafuna pesa za "polisi" na yeye yupo tu
14-Mikataba mibovu, na yeye alikuwepo tu
15-.....................

Hivi huyu Rais Kikwete kazi yake ilikuwa ni nini? Au kazi yake ilikuwa ni kwenda kucheza tu kwenye mabembea ya Ulaya?

View attachment 657944 View attachment 657945 View attachment 657946
Amemwachachia Magufuli kazi nzito sana na yeye hakuna alichokuwa anakifanya. Mbaya zaidi ni siku ile anaingia Bungeni kwenda kuhudhuria Mkewe kuapishwa, eti Wabunge wakainuka na kumshangilia na kusema eti wamem-miss; SERIOUSLY?? Hivi sisi Watanzania tuna akili kweli? Hivi sisi Watanzania tumelogwa na nani?
Yapo madudu mengi sana yamefanyika, mimi nimechoka kuendelea kuandika. Hebu na ninyi ongezeeni hapo nilipoishia.

Tatizo mawaziri alowapa kazi walikua mizigo.....walejenga barabara mbovu
Wakanunua meli mbovu kwa bei kubwa
Wakanunua vivuko, ferry kwa bei kubwa.
Hivyo wapo kujisafisha
 
Ila mi naona hiyo ndio ilikua ni systime ya chama kupiga madili na kulindana baba rizi mwenyewe kayaridhi na kwa mwendo huu wa kuvimbisha mishipa ya shingo mwisho wa picha jambo haieleweki limishiaje hatutoki
 
Anyway.umenifurahisha no 13.watu wenye jukumu la kuhakikisha wizi hakuna kumbe nao walikua wanaibiwa.hahahaaa.
-Jambo la msingi,kla moja ana lake la kujivunia na hii ni kutokana na ulofa wetu wa kutoelewa mambo.enzi za mkwere vyuma havikuhitaji grisi.lakini ukweli ni kwa faida ilikua ni ndogo kuliko hasara kwa taifa kwa mujibu wa list yako hapo juu.sitaki rudia.kuna watu wanamkumbuka mkwere sababu tu vyuma havikukaza.wao hayo uliyoandika sio issue kwao.huu ni upuuzi na uwezo mdogo au ulofa ambao nimeongea hapo juu.na hawa ndio watu wanaonkumbuka mkwere.watamkumbuka sana na wamuote kabsa kla walalapo.magu ongeza kasi...
 
Back
Top Bottom