zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Kumbe ndo nimegundua JF humu wote ni wazee wenye elimu zao bana. Mada zinachambuliwa na kudadavuliwa mpaka huwa nasema kumbe Tanzania tuna wasomi. Labda mimi tu ndo wa kichinichini.
Tena alisikika na mmoja akisema ladies wa humu ndo vichwa hatari. Yaani ni vyuo vimetulia humu.
Tena alisikika na mmoja akisema ladies wa humu ndo vichwa hatari. Yaani ni vyuo vimetulia humu.