Ina maana haamini kuwa picha anazoona ni za mikutano ya Tundu Lissu?

Naona Ufipa mnazidi kujifariji. T 2020 JPM
Mkuu ngoja nikuambie kitu, magufuli hata ikitokea akashinda kutatokea shida kubwa mno mbele, maanaa hatakubali kubadilika kuleta taifa pamoja atazid kuligawanya na kuendeleza kuleta unanyasaji na Kwa sasahivi watu wameishazoea hawatakubali, watapambana nae humo humo wataingia wote liwalo liwe na mwisho watamdhibit Kwa taarifa yako, hivyo magufuli akishinda kutashuhudiwa mapambano makubwa mno Na Sauti zitajitokeza nyiiiiingi mno, wewe unadhani kuwa hata akishinda kuna watu atawanyamazisha? Thubutu
 
Mkuu ngoja nikuambie kitu, magufuli hata ikitokea akashinda kutatokea shida kubwa mno mbele, maanaa hatakubali kubadilika kuleta taifa pamoja atazid kuligawanya na kuendeleza kuleta unanyasaji na Kwa sasahivi watu wameishazoea hawatakubali, watapambana nae humo humo wataingia wote liwalo liwe na mwisho watamdhibit Kwa taarifa yako, hivyo magufuli akishinda kutashuhudiwa mapambano makubwa mno Na Sauti zitajitokeza nyiiiiingi mno, wewe unadhani kuwa hata akishinda kuna watu atawanyamazisha? Thubutu
Keyboard warrior!
 
Umejadili kwa kiwango cha wafanya biashara wale wasiotengeneza mahesabu; huku bado ni bwereree maana ukishalipa hiyo uliyokadiriwa utakutana na TRA mwaka unafuata. Ngoma iko kwa wale wanaotengeza hesabu; baada ya muda ya kuwa umelipa kodi zako ulizojikadiria wewe mwenyewe, TRA hufanyia ukaguzi hizo kodi na kuja na ongezeko la kodi; ambapo ndipo watu wanaposema wamebakiwa lakini ni kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi, na ibara hatari kabisa in Ibara ya 78.
Uko sahihi, final assessment wengi wanalizwa. Yanazushwa madai tangu Yesu hajazaliwa, wakati Sheria za kodi kuhusu muda wa kutunza documents unajulikana. Yote ni kukutisha uwakaribie mezani kwa mazungumzo.
 
Mimi nimetolea mfano hoja moja tuu ya Wafanyabiashara kubambikiwa kodi kuwa ni kutokana na Sheria ya Usimamizi wa Kodi ya Mwaka 2015 iliyopitishwa na Mh Kikwete baada ya Bunge kuipitisha Joyce joyce
Kama sheria kibao kazitengua na kuweka anavyojisikia yeye mfano ni za uhujumu uchumi, alishindwa nini kuibadklisha hiyo? Haina maslahi kwake.
 
Walimdanganya wale waunga mkono juhudi ,kumbe upinzani upo ndani ya mioyo ya watu.

Waunga mkono juhudi wenyewe hawaamini wamesahau sisi ndiyo wapiga kura.
Kura zetu uwa haziyumbi.

Piga chini ccm oktoba 28.
 
Nilishauri kwenye moja ya bandiko CCM waachie uhuru wa vyombo vya habari ili waone hoja za wenzao waweze kuzipatia majibu kwenye mikutano yao. Ni hatari kama hoja zinazotolewa na upande mmoja hazitapatiwa majibu toka upande wa pili.

Mfano suala la wafanyabiashara kubambikiziwa kodi Rais Magufuli anaonewa kwani sheria ya usimamizi wa kodi ya mwaka 2015 ilitungwa kwenye Bunge la Mwisho la Mh Kikwete na ilipitishwa kwenye kikao cha mwisho cha Bunge la Kikwete kabla ya Bunge kuvunjwa; Mh Raisi analaumiwa wakati yeye anasimamia tuu sheria ambayo ilipitishwa kabla hajawa Raisi wa Nchi.

Kwa hilo la kusimamia sheria ya usimamizi wa kodi ya mwaka 2015, Mh Magufuli anatakiwa pongezi kwa kusimamia vema sheria iliyopitishwa na Bunge; hata hivyo kama kuna Ibara haijakaa sawa, ni vizuri akaahidi kwenye kampeni zake kuifanyia mapitio hiyo sheria; mimi kwa upande wangu Ibara ya 78 ina mapungufu inahitaji kufanyiwa mapitio.

Sheria haina 'ibara' bali ina 'kifungu".

Katiba na Mikataba ya Kimataifa ndiyo ina 'ibara".
 
Kinachomuumiza kichwa anaona kumbe yale masgr yamempotezea tuu watu hawaelewi kitu na kutoajiri wala kuongeza mishahara kwa watumishi anakuja na hoja hoo vitambulisho sio lazima tena wakati aliwaita watendaji kwa ajili ya kukazia vitambulisho vya machinga hata akipata atajua kumbe kundi kubwa la watu halipo upande wake....
 
Wakuuu, nimemsikia mgombea mmoja akizungumzia picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamiii zikionesha nyomi ya mikutano Ya Lisu na kusema kuwa zile Picha sio za Mwaka huuu ni za Mwaka 2015, wakuu hili sio Jambo dogo Kama mnavyofikiria maana yake mzee haaamini hata kidogo kuwa zile nyomi ni za mikutano ya Tundu Lisu, Lakini nimegundua kuwa mzee Kuna mtu wa pembeni anamdanganya ili kumfanya asipanic, huyo anaemdanganya mzeee anakosea Sana maana Siku akija kugundua ukweli atakuja kufa Kwa presha mzee wa watu

Yaani mzee anakataaa kabisa kuwa ile nyomi sio ya Mwaka huu? Tobaaaaa

Nauliza swali, hivi wakuu kumbe mzee anachunguliaga kwenye fb na twitter? Hahaha, aaaahhhh mzeee ukichungulia usiwe sasa unakuja tena kusimlia boss!

Wewe mtu mkubwa sana baba usiwe unakuja kusimlia huku kuna wapambe watakujadili Mkuu, uwe unapotezea tu ili maisha yaende ndio hivyo watanzania ni wakimya wanasubiria firimbi tu waoneshe hasira zao

Mzee atakuwa anatazama akimaliza anakuja kuwauliza watu wake kuwa hivi ile ni kweli Au macho yangu? Wasaidizi wanamwambia mzee ile ni ya 2015, hivi mzee na wewe umezidi kudanganyika yani hata hujui umbo la Lisu na Lowassa? Ok basi ngoja tuwaambie wachukua Picha wawe wanamchukua Lissu kwa mbele na wewe Lissu kuanzia sasa uwe unaitazama kamera bhana

Hiiiii bagosha!
 
Walimdanganya wale waunga mkono juhudi ,kumbe upinzani upo ndani ya mioyo ya watu.

Waunga mkono juhudi wenyewe hawaamini wamesahau sisi ndiyo wapiga kura.
Kura zetu uwa haziyumbi.

Piga chini ccm oktoba 28.
Kwa mikakati iliopo CCM haitapigwa chini. Tatizo itakalokumbana nalo serikali ni kutawala watu wengi ambao machoni wanakushangilia huku mioyoni wanakung'ong'a. Watu ambao wana kinyongo lakini hawakuoneshi. Kasma za maendeleo zitahamishiwa kwenye ulinzi na Usalama. Matokeo ni kudumaa kwa uchumi.
 
huyo anaemdanganya mzeee anakosea Sana maana Siku akija kugundua ukweli atakuja kufa Kwa presha mzee wa watu
Mzee Presha za Bure tu; Ila Ushindi atapata japo kwa Asilimia Ndogo; Round inayokuja, Akisimama Lissu Tena Ndo atatoboa sasa;
Mtazamo tu, Msijenge chuki
 
Wakuuu, nimemsikia mgombea mmoja akizungumzia picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamiii zikionesha nyomi ya mikutano Ya Lisu na kusema kuwa zile Picha sio za Mwaka huuu ni za Mwaka 2015, wakuu hili sio Jambo dogo Kama mnavyofikiria maana yake mzee haaamini hata kidogo kuwa zile nyomi ni za mikutano ya Tundu Lisu, Lakini nimegundua kuwa mzee Kuna mtu wa pembeni anamdanganya ili kumfanya asipanic, huyo anaemdanganya mzeee anakosea Sana maana Siku akija kugundua ukweli atakuja kufa Kwa presha mzee wa watu

Yaani mzee anakataaa kabisa kuwa ile nyomi sio ya Mwaka huu? Tobaaaaa

Nauliza swali, hivi wakuu kumbe mzee anachunguliaga kwenye fb na twitter? Hahaha, aaaahhhh mzeee ukichungulia usiwe sasa unakuja tena kusimlia boss!

Wewe mtu mkubwa sana baba usiwe unakuja kusimlia huku kuna wapambe watakujadili Mkuu, uwe unapotezea tu ili maisha yaende ndio hivyo watanzania ni wakimya wanasubiria firimbi tu waoneshe hasira zao

Mzee atakuwa anatazama akimaliza anakuja kuwauliza watu wake kuwa hivi ile ni kweli Au macho yangu? Wasaidizi wanamwambia mzee ile ni ya 2015, hivi mzee na wewe umezidi kudanganyika yani hata hujui umbo la Lisu na Lowassa? Ok basi ngoja tuwaambie wachukua Picha wawe wanamchukua Lissu kwa mbele na wewe Lissu kuanzia sasa uwe unaitazama kamera bhana
Eee MUNGU Wangu ubarikiwe maaana had askofu Pengo kaombwa msamaha, na jina la bashite limeamuliwa kuzikwa haya yoote hawaamini ujio wa tundu lisu kuwa ungeleta hali hii
Anahisi ni za mwaka 1970
 
Mi sidhani Kama Kuna anaemdanganya labda anajidanganya mwenyewe maana ana macho,na masikini na akili Sasa iweje adanganywe
Umekosea mkuu, hapo kwenye akili hana kabisa, ila macho na masikio nakubaliana na wewe kwamba anayo
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom