BAF
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 422
- 510
Naona kama Kero sasa maana unakuta tangazo limetolewa kwenye website husika wakati huo huo unakuta mtu anapost kwenye link ya blog yake. Sijajua wataalam wa IT ndio nini hii maana kama unatangaza blog yako sio kwa style hii maana unaweza kukaa kidogo utaona mtu anatuma tangazo Hilo Hilo ambalo ambalo umeliona kwenye website husika
Karibu wataalam wa hayo mambo.
Karibu wataalam wa hayo mambo.