In short Mungu ametuokoa, hayo mengine ni siasa

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,403
2,545
Unajua tunakoelekea kuna watu wanaenda kanisani na wengine miskitini lakini watakuja kuchomwa moto kwa sababu ya siasa.

Dunia kupitia mamlaka zake za hewa na Anga zilitabiri ujio wa kimbunga cha JOBO ambacho kingeipiga Tanzania upande wa Pwani...dunia ilitegemea madhara mengi na ya kutisha lakini Mungu katuokoa kama alivyofanya kwenye korona.

Hivi ukisema Mungu ametuokoa unapungukiwa na nini wewe MwanaChadema! Ina maana kwa akili yako uamini katika miujiza au elimu yako ni kubwa kuliko hao wanaanga na meteorologists wa duniani?

Kumbuka Mungu anasema elimu dunia kwake ni upumbavu tu...kumfikia sio leo wala kesho....
 
Wewe ndio hopeless!

Kuna factors zinazoweza kusababisha cylone ku-intesify au ku-weaken na hatimae kusambaratika( ku--decay) au kubadili uelekeo.

Hii cyclone haijatufikua kutokana na kukutana na upepo kinzani( kitaalamu increase in vertical wind shear) na hii ni moja ya hizo factors zinazoweza kusababisha cylone kushindwa ku-develop.

Pia, uelewe kadri cyclone inavyokaribia maeneo ya equator , inakuwa na uwezekano mdogo wa kuendelea ku-exist kwasababu along the equator, kuna nguvu inayoitwa coriolis force inapungua, na hii force ndio ambayo iko responsible na ciruclar motion ya hizo cyclones. Hvyo, acha kupuuza mawazo ya watu.

Shukuru Mungu lakini usipuuze sayansi na mawazo ya kisayansi na usisahau sayansi ndio imekufanya ujue kuna kimbunga kinakuja, kimebadili uelekea au kimetoweka.
 
Wewe ndio hopeless

Kuna factors zinazoweza kusababisha cylone ku-intesify au ku-weaken n hatimae kusambaratika( ku--decay).

Kwanini hizo factor haziku apply sehemu zingine zilizoleta madhara....

We ndio hopeless usiyejua miujiza ya Mungu.
 
Mungu hawezi kuokoa kizazi na jamii iliyojaa washirikina, walozi, wachawi, wanafiki, mafisadi, majizi, wala tigo, na takataka kama hizo, kila mtu apambane na hali yake ya kiroho....hizi generalization haziwezi kusaidia.
 
Kwanini hizo factor haziku apply sehemu zingine zilizoleta madhara....

We ndio hopeless usiyejua miujiza ya Mungu.
Mazingira yetu sio rafiki sana kwa vimbunga kutokea na hata ku-intesify vikitokea tofauti na maneno mengine duniani.

Hii ni sayansi na si siasa na propaganda za kisiasa.
 
Kumbuka Mungu anasema elimu dunia kwake ni upumbavu tu...kumfikia sio leo wala kesho....


Shabashiii!
Umepost kutumia simu au Computer, ni matokeo a elimu Dunia. Mambo mengi yanatokana na Asili ya uumbaji wa Dunia na Jinsi Continents zilivyojipanga + Jua + Mwezi. Wanadamu tumepewa ufahamu na akili ya Kuya verify tu, na kama inawezekana kuchukua tahadhari.
 
Kwani hatuwezi kuwa na mijadala jadidi humu ndani bila kugombana? Suala ni kwamba hii dunia, ulimwengu wote na vyote vilivyomo ni mali ya Mungu. Mungu anaweza kufanya chochote kwa kutumia chochote kutimiza makusudi yake. Tukiishi ni kwa sababu ya Mungu na tukifa ni kwa sababu ya Mungu. Sayansi ni attempts za mwanadamu kujijua na kujua mazingira yanayomzunguka. Tunachokijua kama wanadamu kuhusu sisi wenyewe na kuhusu ulimwengu ni kidogo sana, na hata kile tunachohisi tunakifahamu bado hatujakifahamu sawasawa.

Hivyo tutamshukuru Mungu kwa yote, na tunamshukuru Mungu kwa kile kidogo alichotufunulia kama wanadamu kutuhusu sisi na kuhusu mazingira yanayotuzunguka kwa kusudi lake.

Ila ole wake yeye asiyeamini kwamba Mungu yupo na yule aitumainiaye akili yake mwenyewe kama mbadala!
 
Wewe ndio hopeless

Kuna factors zinazoweza kusababisha cylone ku-intesify au ku-weaken na hatimae kusambaratika( ku--decay) au kubadili uelekeo.

Hii cyclone haijatufikua kutokana na kukutana na upepo kinzani( kitaalamu increase in wind shear) na hii ni moja ya hizo factors zinazoweza kusababisha cylone kushindwa ku-develop.

Pia uelewe kadri cyclone inavyokaribia maeneo ya equator , inakuwa na uwezekano mdogo wa kuendelea ku-exist kwasababu along the equator kuna nguvu inayoitwa coriolis force inapungua na hii force ndio iko responsible na ciruclar motion ya hizo cyclones hivyo acha kupuuza mawazo ya watu
Kama ni hivo kwanini kulitabiriwa maafa makubwa kutokea katika mikoa ya pwani na zanzibar???? Ni lini mtashimdana hata na Mungu.... mwaka 1959 kilipiga tena Mtwara... what makes you think this time kisingepiga. Ache unafki na roho mbaya... Mungu yupo,,,, kazi iendelee
 
Wewe ndio hopeless

Kuna factors zinazoweza kusababisha cylone ku-intesify au ku-weaken na hatimae kusambaratika( ku--decay) au kubadili uelekeo.

Hii cyclone haijatufikua kutokana na kukutana na upepo kinzani( kitaalamu increase in wind shear) na hii ni moja ya hizo factors zinazoweza kusababisha cylone kushindwa ku-develop.

Pia uelewe kadri cyclone inavyokaribia maeneo ya equator , inakuwa na uwezekano mdogo wa kuendelea ku-exist kwasababu along the equator kuna nguvu inayoitwa coriolis force inapungua na hii force ndio iko responsible na ciruclar motion ya hizo cyclones hivyo acha kupuuza mawazo ya watu.
Maelezo yako yote naweza kuya -summarize kwa kusema, kweli Mungu ni mkubwa!
 
Kama ni hivo kwanini kulitabiriwa maafa makubwa kutokea katika mikoa ya pwani na zanzibar???? Ni lini mtashimdana hata na Mungu.... mwaka 1959 kilipiga tena Mtwara... what makes you think this time kisingepiga. Ache unafki na roho mbaya... Mungu yupo,,,, kazi iendelee
Mtwara hata mwaka jana Idai ilipita kuelekea msumbiji..... Hata mvua kubwa imenyesha huko. Ndio maana hata kihistoria imepiga lindi... Zenji kusini ma Mtwara tu!! So propability ya vimbunga kufika mainland ya kaskazini Yaani kukaribia ni ndogo miaka yote.

Mungu yupo kweli tena yupo Msumbiji ambapo vimbunga huwa vipo kila mwaka..... Yupo Japan ambapo matetemeko yameshaua mamilion mpaka sasa..... Hakuna nchi eti inapendelewa zaidi kuliko wengine.

Tuache kujifanya tunammiliki Mungu hizo dhihaka nadhani umeona zilivyoondoka na JPM aliyejifanya anamjua Mungu sana kuliko hata papa!!
 
Kama unasema elimu dunia kwake ni upumbavu iweje ukaamini taarifa za wana-anga!

Ukiitwa mpumbavu uwe unashukuru.
 
Wewe ndio hopeless

Kuna factors zinazoweza kusababisha cylone ku-intesify au ku-weaken na hatimae kusambaratika( ku--decay) au kubadili uelekeo.

Hii cyclone haijatufikua kutokana na kukutana na upepo kinzani( kitaalamu increase in vertical wind shear) na hii ni moja ya hizo factors zinazoweza kusababisha cylone kushindwa ku-develop.

Pia, uelewe kadri cyclone inavyokaribia maeneo ya equator , inakuwa na uwezekano mdogo wa kuendelea ku-exist kwasababu along the equator, kuna nguvu inayoitwa coriolis force inapungua, na hii force ndio ambayo iko responsible na ciruclar motion ya hizo cyclones. Hvyo, acha kupuuza mawazo ya watu.

Shukuru Mungu lakini usipuuze sayansi na mawazo ya kisayansi na usisahau sayansi ndio imekufanya ujue kuna kimbunga kinakuja, kimebadili uelekea au kimetoweka.
Mkuu kuna watu hawajui kwanini Mwenyezi Mungu kampa mwanadamu akili ili asiwe kama ng'ombe na haitoshi akampa elimu ili aitumie kwa manufaa...

Kumuelimisha mtu asiyejitambua ni sawa na kujilisha upepo... wengi wanataka watumie "majanga" kupata ujiko wa kisiasa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom