Ohhh SIKUJUA KUMBE VIONGOZI WOTE TANZANIA WATOTO WA WAKUBWA???? mhh!hata Pinda kumbe? Na hao wakubwa walizaliwa na wakubwa pia!!! Duh kama ndo hali hii hatukubali basi
Wewe rudibongo uje kuliendeleza taifa hili..........unakaanga chips na maandazi huko wakati Mama/baba lishe huku bongo wana-make pia na kuchania maendeleo ya nchi hii yenye wakoloni weusi.Wakuu heshima mbele sana, yaani page karibu sita na sioni hoja ya kulisaidia taifa vipi siku hizi huku kumekuwaje? I mean hizi siasa za makengeza mbona mtalimaliza taifa Chadema imejaza watoto na ndugu wa viongozi wenu lakini hamuwaoni ila tatizo linakuwa CCM tu, hizi hoja jamani zimepitwa na wakati sasa tuangalie taifa kwanza badala ya siasa za majina ambazo ndio zimelifikisha taifa hapa lilipo!
- Kwa kawaida Chadema huwa mnatuogopesha sana na kauli zenu ambao huwa ni za makengeza sana, mara mtukane wazee wa CCM lakini kumbe in the process mnawatukana hata wazee wa huko kina Ndesamburo, siasa za kulipiua mabomu na kutukana Viongozi na wananchi wao bila sababu wananchi wamezikataa Igunga, sasa badilisheni strategy, ndio maana Lema anawasumbueni maana ameshajua kwamba hamumtaki, sasa anakatalia Jela ili kusudi mumtukane ajiweke sawa na wananchi, Chadema mnahitaji sana watu wa kuwasaidia ushauri maana sasa mnatoka nje ya mistari ya siasa za kuweakomboa wananchi!
- I mean The whole topic ni matusi kwa Nape, hivi kesho na keshokutwa Nape akiamua kuingia chama chenu mtafanya nini na haya matusi, maana si mtakumbushwa I mean mimi nilidhani JF tunasimamia taifa, lakini siku hizi tumejikita sana kwenye vyama inasikitisha sana maana imekwua kama Yanga na Simba, please people turudie tena tulipokuwa zamani, JF kumkoma nyani tulikuwa tunapigqa za usoni bila kujali chama!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
Wakuu heshima mbele sana, yaani page karibu sita na sioni hoja ya kulisaidia taifa vipi siku hizi huku kumekuwaje? I mean hizi siasa za makengeza mbona mtalimaliza taifa Chadema imejaza watoto na ndugu wa viongozi wenu lakini hamuwaoni ila tatizo linakuwa CCM tu, hizi hoja jamani zimepitwa na wakati sasa tuangalie taifa kwanza badala ya siasa za majina ambazo ndio zimelifikisha taifa hapa lilipo!
- Kwa kawaida Chadema huwa mnatuogopesha sana na kauli zenu ambao huwa ni za makengeza sana, mara mtukane wazee wa CCM lakini kumbe in the process mnawatukana hata wazee wa huko kina Ndesamburo, siasa za kulipiua mabomu na kutukana Viongozi na wananchi wao bila sababu wananchi wamezikataa Igunga, sasa badilisheni strategy, ndio maana Lema anawasumbueni maana ameshajua kwamba hamumtaki, sasa anakatalia Jela ili kusudi mumtukane ajiweke sawa na wananchi, Chadema mnahitaji sana watu wa kuwasaidia ushauri maana sasa mnatoka nje ya mistari ya siasa za kuweakomboa wananchi!
- I mean The whole topic ni matusi kwa Nape, hivi kesho na keshokutwa Nape akiamua kuingia chama chenu mtafanya nini na haya matusi, maana si mtakumbushwa I mean mimi nilidhani JF tunasimamia taifa, lakini siku hizi tumejikita sana kwenye vyama inasikitisha sana maana imekwua kama Yanga na Simba, please people turudie tena tulipokuwa zamani, JF kumkoma nyani tulikuwa tunapigqa za usoni bila kujali chama!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
Samahani mkuu,sikuwa nafahamu,nashukuru kwa tarifa.jmshi1, kwani hukusikia maneno ya Nnape huko Mwanza? Usifikiri hayo ni maneno yangu ila maneno ya Nnape mwenyewe.
Aliwaambia Ngosha wa Mwanza kuwa kama wanawashwa, basi atawashikisha ukuta, wamuone alivyo kidume.
Sasa Nnape ambaye ni Mwanaume kuwaambia NGOSHA ambao ni Madume kuwa atawashikisha ukuta, SIYO USHOGA HUO?
Au wewe ushoga maana yake nini? Labda kama hili ulikuwa hujalisikia.
Ndiyo hapo nashangaa kuwa Ushoga Tanzania unafanywa na kusemwa hadi na watu wakubwa kama Nnape ila leo tunajifanya wakali kweli kuwa hatutaki ushoga. Aliposema Nnape, ilitakiwa watu tulaani na tuandamane kupinga kauli hiyo. Ila watu kama vile hawajasikia.
?????????????????????????????????????????????????????????Iliwashika pabaya eeeeh? Poleni ndo maana humu kelele kila siku!!! Ndo mnakua jamani , ukubwa si lelemama, acheni kulialia, ooooh tumeibiwa! Mpaka mshinde nyie ndio hamkuibiwa wala kuba!!! Chafyaaaaaaaaaa
Hapo William ndo yupi?
Naona Tinga Tinga amekuwa mdogomdogo hivi !
Wakuu heshima mbele sana, yaani page karibu sita na sioni hoja ya kulisaidia taifa vipi siku hizi huku kumekuwaje? I mean hizi siasa za makengeza mbona mtalimaliza taifa Chadema imejaza watoto na ndugu wa viongozi wenu lakini hamuwaoni ila tatizo linakuwa CCM tu, hizi hoja jamani zimepitwa na wakati sasa tuangalie taifa kwanza badala ya siasa za majina ambazo ndio zimelifikisha taifa hapa lilipo!
- Kwa kawaida Chadema huwa mnatuogopesha sana na kauli zenu ambao huwa ni za makengeza sana, mara mtukane wazee wa CCM lakini kumbe in the process mnawatukana hata wazee wa huko kina Ndesamburo, siasa za kulipiua mabomu na kutukana Viongozi na wananchi wao bila sababu wananchi wamezikataa Igunga, sasa badilisheni strategy, ndio maana Lema anawasumbueni maana ameshajua kwamba hamumtaki, sasa anakatalia Jela ili kusudi mumtukane ajiweke sawa na wananchi, Chadema mnahitaji sana watu wa kuwasaidia ushauri maana sasa mnatoka nje ya mistari ya siasa za kuweakomboa wananchi!
- I mean The whole topic ni matusi kwa Nape, hivi kesho na keshokutwa Nape akiamua kuingia chama chenu mtafanya nini na haya matusi, maana si mtakumbushwa I mean mimi nilidhani JF tunasimamia taifa, lakini siku hizi tumejikita sana kwenye vyama inasikitisha sana maana imekwua kama Yanga na Simba, please people turudie tena tulipokuwa zamani, JF kumkoma nyani tulikuwa tunapigqa za usoni bila kujali chama!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
Nimemuonyesha binti yangu Perpetua ana miaka 4 comments zako kaniuliza kama una matatizo ya akili.Nikamwambia hapana,akaniuliza kwa huyu ni nani? nikamwambia.Akasema kumbe hata yule aliekuwa na mzungu(Price Charles) ana matatizo ya akili.Nikamwambia sina uhakika ila kachaguliwa na wananchi akiwemo Salim.Salim ni kijana mmoja wa mtaani kwetu,yeye huwa ana mtindo wa kuvizia kuku za majirani na kuwalawiti majuzi alikamatwa na polisi kwa kosa hilo hilo akakimbilia chooni akajipakaa kinyesi mwili mzima akafanikiwa kuwakimbia polisi.Iliwashika pabaya eeeeh? Poleni ndo maana humu kelele kila siku!!! Ndo mnakua jamani , ukubwa si lelemama, acheni kulialia, ooooh tumeibiwa! Mpaka mshinde nyie ndio hamkuibiwa wala kuba!!! Chafyaaaaaaaaaa
William Malecela
‎@ mUTUZ Good Morning FB: It is Friday you Know! ha! ha! ha! Well, My Babe F is here with me, So! ni Mpango Wangu Mzima, you know I Love the Baby!
- Well, off to the JFK Airport Wazee are leaving today, and So is My Great Friend Mheshimiwa Nape, it was nice to have them here: MBARIKIWE NA MUNGU WA MBINGUNI PEOPLE! - Will Mutuz!
Wakuu heshima mbele sana, yaani page karibu sita na sioni hoja ya kulisaidia taifa vipi siku hizi huku kumekuwaje? I mean hizi siasa za makengeza mbona mtalimaliza taifa Chadema imejaza watoto na ndugu wa viongozi wenu lakini hamuwaoni ila tatizo linakuwa CCM tu, hizi hoja jamani zimepitwa na wakati sasa tuangalie taifa kwanza badala ya siasa za majina ambazo ndio zimelifikisha taifa hapa lilipo!
- Kwa kawaida Chadema huwa mnatuogopesha sana na kauli zenu ambao huwa ni za makengeza sana, mara mtukane wazee wa CCM lakini kumbe in the process mnawatukana hata wazee wa huko kina Ndesamburo, siasa za kulipiua mabomu na kutukana Viongozi na wananchi wao bila sababu wananchi wamezikataa Igunga, sasa badilisheni strategy, ndio maana Lema anawasumbueni maana ameshajua kwamba hamumtaki, sasa anakatalia Jela ili kusudi mumtukane ajiweke sawa na wananchi, Chadema mnahitaji sana watu wa kuwasaidia ushauri maana sasa mnatoka nje ya mistari ya siasa za kuweakomboa wananchi!
- I mean The whole topic ni matusi kwa Nape, hivi kesho na keshokutwa Nape akiamua kuingia chama chenu mtafanya nini na haya matusi, maana si mtakumbushwa I mean mimi nilidhani JF tunasimamia taifa, lakini siku hizi tumejikita sana kwenye vyama inasikitisha sana maana imekwua kama Yanga na Simba, please people turudie tena tulipokuwa zamani, JF kumkoma nyani tulikuwa tunapigqa za usoni bila kujali chama!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
Willy @ NYC, USA. Le Mutuz Baharia!
Hapo William ndo yupi?