TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,703
- 10,168
Iliwashika pabaya eeeeh? Poleni ndo maana humu kelele kila siku!!! Ndo mnakua jamani , ukubwa si lelemama, acheni kulialia, ooooh tumeibiwa! Mpaka mshinde nyie ndio hamkuibiwa wala kuba!!! Chafyaaaaaaaaaa
akili yako na wadhifa wako haviendani hata kidogo.
Una sound kama umelewa gongo. Ndio maana CCM inapoteza heshima na umaarufu wake kila kukicha kwa sababu ya bongo lala kama wewe