Immanuel Mung'ong'o For BOT GOVERNOR.

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,989
22,521
Wana JF...Kuna Bwana mmoja namfahamu ambaye hata aliwahi kunipiga tuition ya MATH kwasana tu!

Ni mtu safi na mcha Mungu.
Anafanya kazi BOT kitengo cha supervisions!

Huyu Bwana sina CV yake kwasasa lakini najua aligraduate Cambridge huko UK. Na pia alipiga kitabu hapo Mlimani.

Kutokana na sifa zake za kutokupenda makuu, ukarimu, upole na utu wema...Kweli sidhani kama atakuwa alishiriki kwenye scandal ya EPA!

Sijawahi kumwuliza kuhusu haya maswala licha ya kwamba najua yeye kama Supervisions(Kabla hata ya kwenda Cambridge)Alikuwa na insight za jinsi mambo yalivyokwenda!

Kwani kwa mujibu wa Taratibu za kifedha huko BOT...Kitengo cha Supervisions nacho kiliplay big part kwenye kashfa hiyo!

Kwa vile ninavyomfahamu huyu bwana ambaye hataki kabisa mambo machafu...Nina RECOMMEND kuwa sasa tuanze kuwapa nafasi wazalendo wa kweli kwenye usimamizi wa mali za Taifa!

Kama kuna mwenye CV ya huyu bwana aimwage hapa.
Kama hakuna basi nitajitahidi kuitafuta.

Wakati huu ambao Taifa letu liko njia panda...Ni muhimu tuanze kuwafikiria watu kama kina Mung'ong'o..Fanya kazi ya Mungu Mr Mung'ong'o na utalipwa fadhila!

Huu ndio mwanzo.

Tunajua pia kuna wale wenye kuanza kupendekeza majina ya viongozi.
Wana jf naomba tunze kufuatilia wakombozi.

Hivyo basi nadiriki kuanzia kwa kusema...Imanuel Mung'ong'o for BOT GOV.
 
Mkuu Mushi,

Kuwa mcha Mungu haimaanishi kwamba ndiyo utakuwa na msimamo katika kupigania haki ama kukemea uchafu kwenye Taasisi ama serikalini.

Unataka kuniambia BoT yote hakuna walokole ama wacha Mungu wengine? Je, walikuwa wapi wakati hayo madudu yote yakifanyika? Je, walifanya nini baada ya kushuhudia hayo madudu yakifanyika?

Mfano mzuri wa karibu ni Mheshimiwa Mchungaji/Askofu Dr Getrude Rwakatare, je, umeishamsikia akikemea ufisadi ndani ya Bunge? Ina maana hajui ama haoni kama kuna ufisadi unaofanyika? Kila siku nikiangalia Bunge naona amekaa anawashangaa wabunge wenzake wanavyolumbana ndani ya Bunge na sijui hata kama ana ubavu wa kukemea uozo.

Kigezo cha ucha Mungu hakitoshi kumfanya mtu awe na msimamo katika kutetea maslahi ya umma ama kutenda haki. Tena hao wacha Mungu wengi wao ni wepesi wa kukaa kimya, sana sana ambacho anaweza kufanya ni kukaa pembeni na kuacha mambo yafanyike kutokana na jinsi wakubwa wake wanavyotaka.

By the way sheria ya BoT ya mwaka 2007 inasema wazi kwamba qualifications za kuwa Gavana lazima mtu awe amefanya kazi kwenye Taasisi za Fedha kwenye ngazi ya Senior Management kwa kipindi kisichopungua miaka 15 ama awe amefanya kazi kwenye Mashirika ya Fedha ya Kimataifa (hapa nadhani wanamaanisha WB na IMF). Sasa huyo jamaa yako anazo hizo minimum qualifications? Maana nimeangalia kwenye website yao hilo jina halimo kwenye orodha ya management.

Swala jingine la kujiuliza je ni kitu gani ambacho kinakufanya uamini kwamba jamaa hapendi uchafu na kwamba akipewa huo ugavana anaweza kuwa mchapa kazi mzuri?
 

We Mushi bwana unaboa sana kwa kweli,
sasa habari unaanzisha wakati huna hata details,kwa nini usiwe kama wengine tu?Kama huna cha kuchangia tulia usome wengine wanachoadika.Unakera sana sometimes na posts zako hizi.
 
Mkuu Mushi,

Kuwa mcha Mungu haimaanishi kwamba ndiyo utakuwa na msimamo katika kupigania haki ama kukemea uchafu kwenye Taasisi ama serikalini.

Unataka kuniambia BoT yote hakuna walokole ama wacha Mungu wengine? Je, walikuwa wapi wakati hayo madudu yote yakifanyika? Je, walifanya nini baada ya kushuhudia hayo madudu yakifanyika?

Mfano mzuri wa karibu ni Mheshimiwa Mchungaji/Askofu Dr Getrude Rwakatare, je, umeishamsikia akikemea ufisadi ndani ya Bunge? Ina maana hajui ama haoni kama kuna ufisadi unaofanyika? Kila siku nikiangalia Bunge naona amekaa anawashangaa wabunge wenzake wanavyolumbana ndani ya Bunge na sijui hata kama ana ubavu wa kukemea uozo.

Kigezo cha ucha Mungu hakitoshi kumfanya mtu awe na msimamo katika kutetea maslahi ya umma ama kutenda haki. Tena hao wacha Mungu wengi wao ni wepesi wa kukaa kimya, sana sana ambacho anaweza kufanya ni kukaa pembeni na kuacha mambo yafanyike kutokana na jinsi wakubwa wake wanavyotaka.

By the way sheria ya BoT ya mwaka 2007 inasema wazi kwamba qualifications za kuwa Gavana lazima mtu awe amefanya kazi kwenye Taasisi za Fedha kwenye ngazi ya Senior Management kwa kipindi kisichopungua miaka 15 ama awe amefanya kazi kwenye Mashirika ya Fedha ya Kimataifa (hapa nadhani wanamaanisha WB na IMF). Sasa huyo jamaa yako anazo hizo minimum qualifications? Maana nimeangalia kwenye website yao hilo jina halimo kwenye orodha ya management.

Swala jingine la kujiuliza je ni kitu gani ambacho kinakufanya uamini kwamba jamaa hapendi uchafu na kwamba akipewa huo ugavana anaweza kuwa mchapa kazi mzuri?

exactly
namfahamu mr Mung'ong'o na ana B.Comm, CPA(T), MBA (International Banking & Finance), PhD. But as said above hajafikia rank ya kuwa GOVERNOR. ktk ngazi za serikali, mtu unatakiwa kupitia satges kadhaa kabla ya kuwa Manager or Director na kwa rank yake hata hizo ngazi mbili bado. na kusoma sana sio solution ya kujua kila kitu

pia ulokole si kila kitu... ktk mazingira yangu ya kazi walokole ndio wabaya kuliko wengineo wote. wanaweza kuamua kumdeal mtu just because they dont share same ideas.... usiombe
 
HII NI NAFASI NZURI SANA KWETU SISI WATANZANIA! HEBU TUJARIBU KUPENDEKEZA WATU SAFI TUNAOWAFAHAMU KULIPONYA TAIFA LETU!
NI MCHANGO MZURI TOKA JF ( si mushi tena) PALE AMBAPO TUTAWEZA KUPENDEKEZA KWA UZALENDO ZAIDI....! TUTUMIE NAFASI HII NA SI KUKOSOA TU ( TUKIKOSOA TUPENDEKEZE PIA) TUSISUBIRI SERIKALI PEKE YAKE IAMUE KISHA TUANZE KULAUMU WAKATI KUNA PARTY TUME PLAY ITAPUNGUZA HAYO MALALAMIKO....!
 
Mpeni nafasi naye aanze kujimilikisha.Shetani mbaya.He changes people.Ila bado he still has a long way to go and by that time takuwa amequalify atakuwa mlaji mzuri kweli mpaka anavimbiwa msisahau hata Balali alikuwa mzuri ila alipoingizwa kwenye system sio mwenzenu tena.
 
Mpeni nafasi naye aanze kujimilikisha.Shetani mbaya.He changes people.Ila bado he still has a long way to go and by that time takuwa amequalify atakuwa mlaji mzuri kweli mpaka anavimbiwa msisahau hata Balali alikuwa mzuri ila alipoingizwa kwenye system sio mwenzenu tena.

Huyu jamaa alikuwa na NAFASI ZA KUJIMILIKISHA KITAMBO NA HAKUFANYA HIVYO.

Ni msomi, safi, mcha Mungu asiyependa makuu!

Asiyependa UFUJAJI,Ver simple...Na hadi mara ya mwiso licha ya kuwa na uwezo wa kununua gari...Bado alipanda dala dala...Huku Ballali na majangili wengine...Tena wengi wao waliopandishwa cheo na Kikwete wakiwa humo ndani wakilifanyia TAIFA LETU MUFLIS NA MATENDO YA KISHETANI.
 
exactly
namfahamu mr Mung'ong'o na ana B.Comm, CPA(T), MBA (International Banking & Finance), PhD. But as said above hajafikia rank ya kuwa GOVERNOR. ktk ngazi za serikali, mtu unatakiwa kupitia satges kadhaa kabla ya kuwa Manager or Director na kwa rank yake hata hizo ngazi mbili bado. na kusoma sana sio solution ya kujua kila kitu

pia ulokole si kila kitu... ktk mazingira yangu ya kazi walokole ndio wabaya kuliko wengineo wote. wanaweza kuamua kumdeal mtu just because they dont share same ideas.... usiombe

UDINI NA UKABILA USIPOANGALIWA KWA MAKINI...Then hatutaweza kusonga mbele.

Sijasema ni kwasababu ya ulokole!

Ni character!
Sasa na wenye kusema WAISLAM NAO WASEME?
Tunataka watu wenye uchungu na Taifa lao na pia waadilifu!
 
Aliyekuwa makamu wa BOT ndiye Gavana sasa hivi.
Kwa mujibu wa RIPOTI..Hata yeye ni MUHUSIKA WA EPA!
Ila wote sasa tunajua style ya Rais ya kuchanganya wabaya na wema ili kuua soo!
Mung'ong'o NI SAFI NA APEWE HAYO MAJUKUMU NA NINA UHAKIKA ATAYA HANDLE BILA WASI WASI WALA WOGA!
 
Mkuu Mushi,

Kuwa mcha Mungu haimaanishi kwamba ndiyo utakuwa na msimamo katika kupigania haki ama kukemea uchafu kwenye Taasisi ama serikalini.

Unataka kuniambia BoT yote hakuna walokole ama wacha Mungu wengine? Je, walikuwa wapi wakati hayo madudu yote yakifanyika? Je, walifanya nini baada ya kushuhudia hayo madudu yakifanyika?

Mfano mzuri wa karibu ni Mheshimiwa Mchungaji/Askofu Dr Getrude Rwakatare, je, umeishamsikia akikemea ufisadi ndani ya Bunge? Ina maana hajui ama haoni kama kuna ufisadi unaofanyika? Kila siku nikiangalia Bunge naona amekaa anawashangaa wabunge wenzake wanavyolumbana ndani ya Bunge na sijui hata kama ana ubavu wa kukemea uozo.

Kigezo cha ucha Mungu hakitoshi kumfanya mtu awe na msimamo katika kutetea maslahi ya umma ama kutenda haki. Tena hao wacha Mungu wengi wao ni wepesi wa kukaa kimya, sana sana ambacho anaweza kufanya ni kukaa pembeni na kuacha mambo yafanyike kutokana na jinsi wakubwa wake wanavyotaka.

By the way sheria ya BoT ya mwaka 2007 inasema wazi kwamba qualifications za kuwa Gavana lazima mtu awe amefanya kazi kwenye Taasisi za Fedha kwenye ngazi ya Senior Management kwa kipindi kisichopungua miaka 15 ama awe amefanya kazi kwenye Mashirika ya Fedha ya Kimataifa (hapa nadhani wanamaanisha WB na IMF). Sasa huyo jamaa yako anazo hizo minimum qualifications? Maana nimeangalia kwenye website yao hilo jina halimo kwenye orodha ya management.

Swala jingine la kujiuliza je ni kitu gani ambacho kinakufanya uamini kwamba jamaa hapendi uchafu na kwamba akipewa huo ugavana anaweza kuwa mchapa kazi mzuri?

Naona kati ya vigezo vyote wewe umekomaa na hicho cha mcha Mungu.
Kama wewe umeona kuwa hatuna haja hiyo...Basi futa hicho kigezo..Ila kuna vinginevyo vilivyobakia kama UADILIFU NA KUTOPENDA MAKUU..Vigezo ambavyo hujataja kabisa kwenye makala yako hii ndefu uliyoitumia kunijibu.

NB:Na hivyo vigezo vingine ulivyoviweka kwa kusema ukweli havitusaidii sisi watanzania kwani tunakosa UHONDO WA VIONGOZI WAADILFU AMBAO KAMA TUKIWAPA NAFASI BILA YA KUWEKA UDINI NA UKABILA..Basi tutapata maendeleo ya kweli!
Mung'ong'o alikuwa Mwalimu wangu,Mlezi na Mshauri...Mwenye upendo,Hana fitna,msafi,Hana majungu,hupenda haki,hapendi uchafu wa aina yoyote!
Tuwape watu kama hawa nafasi jamani.
 
unajua wazalendo wachache kama hawa inabidi kuwapa shavu sana kwani ndo watakao tutoa kimaso maso haswaa.
Mkuu Mushi mm nakuunga mkono moja kwa moja lakini unajua katika jamii yetu hapa Bongo mtu akiwa anafanya mambo makubwa basi watampiga vijembe na kumshushia hadhi kabisa.
 
Kwani kuna tangazo la kazi nafasi ya ugavana limetolewa?au huyu aliyepo amemaliza muda wake?Let us b serious and focused.
 
Wakuu, jmushi,

Nimeshakabiliana na Dr. Mungongo mara kadhaa. Na ni mmoja ya watu ambao wana uwezo and willingness to lead and be a genuine leader of a Central Bank. He is highly capable.

Hayo mambo na requirements za BOT kuwa lazima uwe umefanya kazi IMF na World Bank, kuwa Gavana kwani Ballali si alishafanya kazi huko mbona hakudisplay any leadership at the crucial times? He basically failed.

Jamani lazima muelewe kufanya kazi kwenye hizi International organisation haimaanaisha you are better able than others who have acquired skilled otherwise. Inategemea sana na MAJUKUMU yako. Walio wengi huwa wanapoteza muda na kufanya ROUTINE tasks.

Lakini huyu jamaa ni PhD Cambridge educated. Na kama mtafuatilia jinsi Digrii ya Cambridge ilivyo-rigorous then mtaweza kuelewa zaidi kuwa experience aliyoipata ni kubwa. Nadhani pia amekuwa kwenye banking sector kwa muda mrefu sasa.
 
Wakuu, jmushi,

Nimeshakabiliana na Dr. Mungongo mara kadhaa. Na ni mmoja ya watu ambao wana uwezo and willingness to lead and be a genuine leader of a Central Bank. He is highly capable.

Hayo mambo na requirements za BOT kuwa lazima uwe umefanya kazi IMF na World Bank, kuwa Gavana kwani Ballali si alishafanya kazi huko mbona hakudisplay any leadership at the crucial times? He basically failed.

Jamani lazima muelewe kufanya kazi kwenye hizi International organisation haimaanaisha you are better able than others who have acquired skilled otherwise. Inategemea sana na MAJUKUMU yako. Walio wengi huwa wanapoteza muda na kufanya ROUTINE tasks.

Lakini huyu jamaa ni PhD Cambridge educated. Na kama mtafuatilia jinsi Digrii ya Cambridge ilivyo-rigorous then mtaweza kuelewa zaidi kuwa experience aliyoipata ni kubwa. Nadhani pia amekuwa kwenye banking sector kwa muda mrefu sasa.

Kuwa na PhD Cambridge sio kigezo cha kufanya mtu awe mtendaji bora.
 
Kuwa na PhD Cambridge sio kigezo cha kufanya mtu awe mtendaji bora.

Kama CAMBRIDGE SI KIGEZO..Then ni kipi hiko?
Cha kusirikiana na MAFISADI?
Taja...Nani?
Ndullu keshatoa ripoti ni kwa jinsi gani hao watoto wa vigogo wameruhusiwa kuimiliki BOT?
Ripoti za kuwa ni kivipi walipandishwa cheo ama kupewa kazi?
NDULU SI FISADI?
Vipi kuhusu Body Of Directors?
Vipi kuhusu Iddi Simba aliyeisadia ccm kuchota pesa za EPA kwa kuwatumi hao wewe unaowasapoti na ambao hawana vigezo vya CAMBRIDGE?
UNAIJUA CAMBRIDGE?
UNAMJUA MUNG'ONG'O?
Ama ni forces of EVIL?
 
jmushi, wakuu

Nimeshakabiliana na Dr. Mungongo mara kadhaa katika pitapita zangu. Ni mmjoa ya watu ambao wana UWEZO na NIA ya kuona maendeleo ya wananchi wanaoangamizwa kila siku.

Haya mambo na BOT kuweka condition kwamba ni lazima Gavana awe ameshafanya kazi na World Bank au IMF ni ujinga and NO BRAINER. Kwani Balali si alikuwa ameshafanya kazi huko mbona kwenye crucial times he compeletely proved incapable? And he was basically a FAILURE!

Ni lazima muelewe kuwa kufanya kazi kwenye hayo mashirika ya kimataifa haswa haya ambayo yako poorly organized kama UN, IMF etc (Nimeshafanya kazi huko pia) Mara nyingi inategemea na MAJUKUMU yako hata hivyo mara nying kazi huwa ni ROUTINE exercises.

Mungongo ni PhD kutoka Cambridge, kama mkifuatilia hizo Degree za Cambridge zilivyo-rigorous basi mtaweza kuelewa kuwa anaweza kuwa highly capable than the tokens from the IMF and co. Pia nadhani ameshakuwa kwenye banking sector kwa muda mrefu sasa.
 
Mbona mtiririko wa mada unakuwa kulazimisha Phd ya Cambrige na kupinga uzoefu wa kufanya taasisi za kimataifa za fedha kwa kutaka huyu Mung'ong'o awe Gavana?
Yaani inakuwa kama mtu anajijibu mwenyewe kwenye hii thread?
Mimi huwa inaniboa sana kukosa ule mtiririko kwa kuwa anakuwa kama anaandika mtu yule yule
 
Wakuu, jmushi,

Nimeshakabiliana na Dr. Mungongo mara kadhaa. Na ni mmoja ya watu ambao wana uwezo and willingness to lead and be a genuine leader of a Central Bank. He is highly capable.

Hayo mambo na requirements za BOT kuwa lazima uwe umefanya kazi IMF na World Bank, kuwa Gavana kwani Ballali si alishafanya kazi huko mbona hakudisplay any leadership at the crucial times? He basically failed.

Jamani lazima muelewe kufanya kazi kwenye hizi International organisation haimaanaisha you are better able than others who have acquired skilled otherwise. Inategemea sana na MAJUKUMU yako. Walio wengi huwa wanapoteza muda na kufanya ROUTINE tasks.

Lakini huyu jamaa ni PhD Cambridge educated. Na kama mtafuatilia jinsi Digrii ya Cambridge ilivyo-rigorous then mtaweza kuelewa zaidi kuwa experience aliyoipata ni kubwa. Nadhani pia amekuwa kwenye banking sector kwa muda mrefu sasa.

Wazalendo tukate isssue!
 
Back
Top Bottom