IMF Yaipa Rwanda Dola Milioni 111.06 zaidi ili kupambana na COVID-19

Sasa tujitasimini nini?mambo ya nchi nyingine sisi yanatuhusu nini?kila mtu ana mambo yake,makusanyo ya Rwanda na Tanzania unadhani viko sawa? Yani wabongo bana,sijui mlirogwaga na nani
Achana nalo hilo.
Mwenzio hapo anafikiri amemuongezea Lisu kura za urais
 
Yes hiyo ya Rwanda ni mkopo na sio grants, milango ya kukopa ilifunguliwa kwa anayetaka kukopa, sisi hatujataka kukopa, tumeomba kusamehewa madeni na tumesamehewa!.
P
Paskali,
Hata kama masikio yako yanasubiri teuzi, jaribu kuwa mkweli. Barua ya Mpango ya IMF hiko na inasambaa kwenye mitandao. Kumbuka ukiwaandikia IMF kuomba msaada , hiyo barua inakuwa public information.
 
Paskali,
, jaribu kuwa mkweli. Barua ya Mpango ya IMF hiko na inasambaa kwenye mitandao. Kumbuka ukiwaandikia IMF kuomba msaada , hiyo barua inakuwa public information.
Kiswahili kigumu!.
IMF na WB wamefungua milango kukopa kwa anayetaka.

Tanzania tukawaomba, badala ya kuendelea kutukopesha, watusamehe madeni. Sisi
hatujaomba kukopa, tumeomba kusamehewa madeni, Rwanda kaomba kukopa kapata mkopo!, how can you compare?!.

P
 
Africa tunaingia kwenye ukoloni mbaya kuliko ule wa kuchapwa bakora. Maana mkopo uliopo nchi hazimudu kulipa na nchi hizo haziwezi kuishi bila mkopo. Maana yake daima tutaendelea kuwa tegemezi. Kuna jicho moja namuona magufuli yuko na nia thabiti ya kututoa hapo Ila kiukweli kazi hiyo ni ngumu sana
Unasahau kuwa hata bila mkopo wa Corona, bado deni la taifa linapaa! Hapo Magufuli katutoaje? Think!
 
Africa tunaingia kwenye ukoloni mbaya kuliko ule wa kuchapwa bakora. Maana mkopo uliopo nchi hazimudu kulipa na nchi hizo haziwezi kuishi bila mkopo. Maana yake daima tutaendelea kuwa tegemezi. Kuna jicho moja namuona magufuli yuko na nia thabiti ya kututoa hapo Ila kiukweli kazi hiyo ni ngumu sana
Chochote kile tunachozalisha tukitaka kuuza soko hadi watupe wao sasa tutajikomboa vipi.
 
Wkt yeye mwenyewe Magu aliomba mkopo wa $190mil huko kwa mabeberu kwa ajili ya hizi mambo za Covid na tukanyimwa,hio nia thabiti ni ipi?
Hiyo pesa uliyoitaja $190M Tz ndio wanayodai kuitumia ktk hili janga la Covid19 japo IMF wana mashaka nao.
Hazina wameomba $275M huku wakidai kusamehewa baadhi ya madeni kutokana na Covod19
 
Africa tunaingia kwenye ukoloni mbaya kuliko ule wa kuchapwa bakora. Maana mkopo uliopo nchi hazimudu kulipa na nchi hizo haziwezi kuishi bila mkopo. Maana yake daima tutaendelea kuwa tegemezi. Kuna jicho moja namuona magufuli yuko na nia thabiti ya kututoa hapo Ila kiukweli kazi hiyo ni ngumu sana
Anatutoaje wakati anakopa hadi kwenye taasisi za fedha za kibiashara zenye riba kubwa?

Anatutoaje? Huu mkopo wa IMF tumeomba tumenyimwa ila jana waziri wa fedha kasema bado wako kwenye mazungumzo labda tunaweza kuonewa huruma tukapewa.
 
Oneni akili za chadema jamani,!

Si ajabu huyuhuyu mleta mada akaleta mada nyingine juu ya ukubwa wa deni tunalodaiwa. Lakini hapa analalama kwamba kwanini hatupati mkopo!

Siasa za aina hii utazikuta chadema pekee dunia nzima. Alafu sasa utakuta Lisu anamtegemea mleta mada kwenye mikakati ya ushindi.
Ukifika ufipa pale.nyuma ya ile nyumba kuna store.hiyo store ndo akili za manyumbu wote wa ufipa zinapohifadhiwa.
Wanafanya mambo yao ya kimaisha ila akili zao zipo store.
 
Kiswahili kigumu!.
IMF na WB wamefungua milango kukopa kwa anayetaka.

Tanzania tukawaomba, badala ya kuendelea kutukopesha, watusamehe madeni. Sisi
hatujaomba kukopa, tumeomba kusamehewa madeni, Rwanda kaomba kukopa kapata mkopo!, how can you compare?!.

P
Huu uteuzi utawavua nguo sana mwaka huu

Tuliomba dollar Millioni 198 kupitia dirisha la Rapid Credit Facility tukanyimwa, ilikua March. Na hata waziri wa fedha jana amesema bado kuna matumaini IMF watatupatia mkopo kupitia Rapid Credit Facility.

Hii tuliyosamehewa iko kwenye Catastrophe Containment Relief Trust ambayo hata Rwanda imesamehewa.sio Tanzania tu waliosamehewa madeni chini ya dirisha la CCRT.

Hii ya kusema hatujawahi kuomba kukopa ni kuandika uongo.
 
Hiyo pesa uliyoitaja $190M Tz ndio wanayodai kuitumia ktk hili janga la Covid19 japo IMF wana mashaka nao.
Hazina wameomba $275M huku wakidai kusamehewa baadhi ya madeni kutokana na Covod19
Huu uteuzi utawavua nguo sana mwaka huu

Tuliomba dollar Millioni 198 kupitia dirisha la Rapid Credit Facility tukanyimwa, ilikua March. Na hata waziri wa fedha jana amesema bado kuna matumaini IMF watatupatia mkopo kupitia Rapid Credit Facility.

Hii tuliyosamehewa iko kwenye Catastrophe Containment Relief Trust ambayo hata Rwanda imesamehewa.sio Tanzania tu waliosamehewa madeni chini ya dirisha la CCRT.

Hii ya kusema hatujawahi kuomba kukopa ni kuandika uongo.
 
Huu uteuzi utawavua nguo sana mwaka huu

Tuliomba dollar Millioni 198 kupitia dirisha la Rapid Credit Facility tukanyimwa, ilikua March. Na hata waziri wa fedha jana amesema bado kuna matumaini IMF watatupatia mkopo kupitia Rapid Credit Facility.

Hii tuliyosamehewa iko kwenye Catastrophe Containment Relief Trust ambayo hata Rwanda imesamehewa.sio Tanzania tu waliosamehewa madeni chini ya dirisha la CCRT.

Hii ya kusema hatujawahi kuomba kukopa ni kuandika uongo.


Paskali anasubiri teuzi kwa nguvu zote...
 
Africa tunaingia kwenye ukoloni mbaya kuliko ule wa kuchapwa bakora. Maana mkopo uliopo nchi hazimudu kulipa na nchi hizo haziwezi kuishi bila mkopo. Maana yake daima tutaendelea kuwa tegemezi. Kuna jicho moja namuona magufuli yuko na nia thabiti ya kututoa hapo Ila kiukweli kazi hiyo ni ngumu sana
Yeye mwenyewe anakopa tena mikopo ya kibiashara.
 
Pamoja na udogo wa nchi ya Rwanda na uchache wa watu kulinganisha na Tanzania, ili kupambana na Corona hadi sasa IMF imeipatia Rwanda jumla ya Bil. 530 huku Tanzania ikiambulia kusamehewa deni la bilioni 33 tu, narudia tena sisi tumesamehewa siyo kupatiwa.

Tujitathimini.

The IMF Executive Board today approved additional emergency funding of US$111.06 million to help #Rwanda finance #COVID19 health and economic efforts. This follows an earlier approval of US$109.4 million in April.

The IMF Executive Board approved debt relief under the Catastrophe Containment and Relief Trust to provide US$14.3 million over the next 4 months, and potentially up to US$25.7 million over the next 23 months.
Hizo walizopewa Rwanda ni mkopo au Msaada?
 
Back
Top Bottom