Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,904
- 33,468
Achana nalo hilo.Sasa tujitasimini nini?mambo ya nchi nyingine sisi yanatuhusu nini?kila mtu ana mambo yake,makusanyo ya Rwanda na Tanzania unadhani viko sawa? Yani wabongo bana,sijui mlirogwaga na nani
Mwenzio hapo anafikiri amemuongezea Lisu kura za urais