Kamkuki
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 1,672
- 970
Furahieni mikopo hii, ambayo fedha nyingi "zinafisidiwa" ........ Ipo siku maneno ya Ndugai yatashina.....Mama anaupiga mwingi
Furahieni mikopo hii, ambayo fedha nyingi "zinafisidiwa" ........ Ipo siku maneno ya Ndugai yatashina.....Mama anaupiga mwingi
Siyo kuwa aongeze mabasi yake ili tusafiri sana!Ni jambo jema
Mwigullu Nchemba asimamie vizuri hiyo mikopo
Rubbish,hiyo kigezo Wala sio mara ya kwanza kutolewa na mara nyingi hiyo mikopo ni kuendana na mipango ya Serikali..Nikwambie kitu: Watazitoa kwa miezi 40 kwa kuwa mkopo huo ni mtego pia!! Watataka tukubaliane na mambo fulani fulani. Mkopo wenyewe unadai ni wa kufidia athari za vita vya urusi na Ukraine! Hapo ujue kabisa kutakuwa na sharti la kuilaani Urusi vinginevyo watatishia kuzuia mkopo! Wanaanza kwa kukulambisha kwanza kwa dola milioni 151.7 ili usikilizie utamu wake!! Ili sasa watakapokuwa wanatishia uwe unakumbukia utamu ulioonjeshwa!! Pili pamoja na kutakiwa kuilaani urusi kwa uvamizi wake kwa ukraine, watatutaka tuunge mkono vikwazo vya kiuchumi kwa urusi!! Kwa maneno mengine mkopo huu unaenda kutunyang'anya uhuru wetu!. Na mwisho tukitia ngumu tutatishiwa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi wenyewe!! Huwezi ukaonjeshwa pesa ya beberu halafu ujifanye kichwa ngumu!! Tumejiweka kwenye hali ngumu sana!!
Mr. Hamnazo huyo.Unateseka kujibu kila koment..
Uchawa wako hautakuondolea umasikini kwenye ukoo wako
Umenikumbusha kuna nchi ilitengeneza ndege na ikafanya safari kama mwaka baadae hali ya uchumi ikayumba wakaenda IMF kukopa kama nchi moja ya sharti ilikuwa hawaruhusiwa kuendeleza mradi wa utengenezaji ndege na Biashara ya ndege ikafia hapo nikiikumbuka nchi ndashareNikwambie kitu: Watazitoa kwa miezi 40 kwa kuwa mkopo huo ni mtego pia!! Watataka tukubaliane na mambo fulani fulani. Mkopo wenyewe unadai ni wa kufidia athari za vita vya urusi na Ukraine! Hapo ujue kabisa kutakuwa na sharti la kuilaani Urusi vinginevyo watatishia kuzuia mkopo! Wanaanza kwa kukulambisha kwanza kwa dola milioni 151.7 ili usikilizie utamu wake!! Ili sasa watakapokuwa wanatishia uwe unakumbukia utamu ulioonjeshwa!! Pili pamoja na kutakiwa kuilaani urusi kwa uvamizi wake kwa ukraine, watatutaka tuunge mkono vikwazo vya kiuchumi kwa urusi!! Kwa maneno mengine mkopo huu unaenda kutunyang'anya uhuru wetu!. Na mwisho tukitia ngumu tutatishiwa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi wenyewe!! Huwezi ukaonjeshwa pesa ya beberu halafu ujifanye kichwa ngumu!! Tumejiweka kwenye hali ngumu sana!!
Yaani wewe lipimbi kweli unajifanya chawa uliyekubuhu kwa kuita wao wajinga! Unajua kuhoji ni muhimu!Mungu ndio analipa madeni? Acha utaahira.. Serikali haikurupuki kama nyie wajga.
Sio tuu kukubuhu bali ni chawa nguli haswaa ,pimbi wewe.Yaani wewe lipimbi kweli unajifanya chawa uliyekubuhu kwa kuita wao wajinga! Unajua kuhoji ni muhimu!
Yale ni ya Bulaya!Siyo kuwa aongeze mabasi yake ili tusafiri sana!
Waulize majirani zetu Malawi mazingira yaliyowafanya waruhusu ushoga na ndoa za jinsia moja rasmi!! Wewe haushangai kama ni nia njema kwa nini wasingetupa angalau nusu kwanza?Rubbish,hiyo kigezo Wala sio mara ya kwanza kutolewa na mara nyingi hiyo mikopo ni kuendana na mipango ya Serikali..
Kwa hiyo hakuna shida ila mimi naona ni ndogo,angalau wangefanya dola 300.
Kwani kabla ya hapo ushoga haukuwepo? Tanzania hakuna ushoga?Wau
Waulize majirani zetu Malawi mazingira yaliyowafanya waruhusu ushoga na ndoa za jinsia moja rasmi!! Wewe haushangai kama ni nia njema kwa nini wasingetupa angalau nusu kwanza?
Kama tunakopesheka kwanini tusifanye mambo ndani ya uwezo wetu na kwa ufanisi??Tufahamu tu hizo ni pesa za mkopo tena zina msururu wa masharti kutoka kwa wakopeshaji, hivyo tutapaswa kuzilipa kwa faida na kufuata masharti yao.
Swali linakuja.
1. Tutazilipaje?
2. Zina masharti gani?
Leo hujaitaja Chadema na Mbowe Ngosha..Ipo siku tutamkumbuka na kumlilia Ndugai.
Pesa za tozo zinafanyakazi gani?
Hii mikopo inatakiwa kumfikia mtu wa mwisho. Mtendaji kama wewe. Warudishe PRIDE waiboreshe pesa zifike chini kupitia hiyo taasisi.Waendelee kukopa sana, ila na sisi mtukopeshe huku kwenye kilimo. Una degree, una shamba, shamba lina miti ya miaka 10, unapeleka hati bank lakini bado unazungushwa kupewa hata milioni 1, ya kuimalisha kilimo. Sasa kama ajira hakuna basi tuwezesheni mikopo. Serikali inakopa, basi nasi tukopeshwe.
Unadhani mikopo ina shida gani kama inalipika taratibu na maendeleo yakafanyika haraka?Kama tunakopesheka kwanini tusifanye mambo ndani ya uwezo wetu na kwa ufanisi??