chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,959
- 20,530
JPM aliacha miradi haijafika hata asilimia 5, mama anaipeleka asilimia 80 Sasa hiviKwahio Tozo haIkatwi watu wamegoma? Kodi si nasikia inakusanywa nyingi kuliko kipindi cha JPM vipi tena unasema hawataki kulipa?