IMF: The fastest growing economies in Africa 2020

IMF kigezo.kikuu Cha kwanza wanachokitumia kupima uchumi.kukua ni kukopa pesa Mara nyingi kwao na kuzilipa kwa Wakati .Ukiwa mkopaji mzuri unayekopa Sana na kulipa Sana watakwambia uchumi wako Unakua kwa spidi ya mwewe
Sisi tunapimaje ukuaji wa chumi zetu ndugu mtaalamu?
 
Kuna stage ya maendeleo ukifikia basi growtjh yako inakuwa ndogo sana. Ndio maana hapo huwezi kuona the likes of Egypt, South Africa, Namibia, Nigeria na Tanzania. Kenya ilikuwa nyuma yetu miaka yote ya Kikwete na miaka 4 ya Baba lao. Sasa sisi tunapumua kidogo considering tina election 2020 growth haitegemewi kuwa juu!
 
Record pekee za ukuaji wa uchumi wetu tunazipata NBS hawa IMF wahuni tu na wanatumiwa na mabeberu.. Eti Uchumi wa South Sudan, Niger, Ethiopia na Uganda unakua kuliko Tanzania..
Inawezekana kabisa cc wafanyabiashara wa mipakan tunaelewa mfano zaman hela ya Uganda ilikua chini sana ila saivi Kuchange hamna faida kama zaman maana yake.sh yetu imeanza kushuka kiasi flan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka data ya unachokisema na sio kuongea tu kama upo katika kijiwe cha kahawa.
IMF kigezo.kikuu Cha kwanza wanachokitumia kupima uchumi kukua ni kukopa pesa Mara nyingi kwao na kuzilipa kwa Wakati .Ukiwa mkopaji mzuri unayekopa Sana na kulipa Sana watakwambia uchumi wako Unakua kwa spidi ya mwewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna safari ndefu sana kufikia huo uchumi wanaouita wa kati.
Watu wanafikiri zile bilioni za wahujumu uchumi zinakuza uchumi

Watu wanafikiri hela zinazopelekwa hazina na taasisi, mashirika na makupuni ambayo serikali ina hisa ndo kukua kwa uchumi

Kuna wanosahahu kwamba hela unapotoa kwenye mizunguko ya kila siku huwezi kuwa na uchumi unaokua

Kuna principles za uchumi usipofuata uchumi utasikia kwa wengine tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani siku moja itolewe ripoti ya kimataifa iki NBS Tz. ivuliwe nguo kwa kuwa kinara nambari wani wa kupika takwimu (data) duniani.
Record pekee za ukuaji wa uchumi wetu tunazipata NBS hawa IMF wahuni tu na wanatumiwa na mabeberu.. Eti Uchumi wa South Sudan, Niger, Ethiopia na Uganda unakua kuliko Tanzania..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti uchumi unakuwa! Niliwaambia watu humu, hakuna uchumi unaokuwa kwa 7% huku unapoteza 50% ya FDIs na 50% ya exports zinapeperuka kwa mwaka.

Deni la taifa ni kubwa zaidi kuliko kipindi chochote kile tangu uhuru (wachumi mtanisahihisha) na utekelezaji wa bajeti naambiwa ni chini ya 68%.

Biashara nyingi zimefungwa. Mabenki, kampuni mpaka zile za media zimepunguza wafanyakazi kwa maelfu, hakuna uchumi unaokuwa uku una-shed jobs like that! Tuendelea kuyasifu, kuyashabikia na kuyatukuza huku yakijineemesha na kuwa na matumbo makubwa, magorofa, hotel,magari ya kifahari na anasa kedekede.

Mambo haya yako wazi,huhitaji degree ya economics. Angalia maisha ya watu, angalia takwimu za ajira (za kudumu na za muda mfupi) kwa mwaka.
Kusimama majukwaani kujisifu hakuna maana kama watu wengi wanaishi kwenye umaskini hata wa kushindwa kula milo mitatu kwa siku.
 
Well said mkuu
Eti uchumi unakuwa! Niliwaambia watu humu, hakuna uchumi unaokuwa kwa 7% huku unapoteza 50% ya FDIs, 50% ya exports zinapeperuka kwa mwaka.

Deni la taifa ni kubwa zaidi kuliko kipindi chochote kile tangu uhuru (wachumi mtanisahihisha) na utekelezaji wa bajeti naambiwa ni chini ya 68%.

Biashara nyingi zimefungwa. Mabenki, kampuni mpaka zile za media zimepunguza wafanyakazi kwa maelfu, hakuna uchumi unaokuwa uku una-shed jobs like that! Tuendelea kuyasifu, kuyashabikia na kuyatukuza huku yakijineemesha na kuwa na matumbo makubwa, magorofa, hotel,magari ya kifahari na anasa kedekede.

Mambo haya yako wazi,huhitaji degree ya economics. Angalia maisha ya watu, angalia takwimu za ajira (za kudumu na za muda mfupi) kwa mwaka.
Kusimama majukwaani kujisifu hakuna maana kama watu wengi wanaishi kwenye umaskini hata wa kushindwa kula milo mitatu kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom