Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..
Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.
Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.
Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.
Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.
Alex Fredrick
Dar es salaam
Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.
Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.
Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.
Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.
Alex Fredrick
Dar es salaam