IMF na World Bank tambueni hii nchi ni huru

Mapato zaidi yanapatikana katika uchumi unaokua vizuri,
Miaka michache ni miaka mingapi?
Tunapowaambia Rais Magufuli anasuka uchumi maana yake miaka michache ijayo tutakuwa tunajitegemea wenyewe kwenye Bajeti yetu. Kwa kuboresha vyanzo vyetu vya mapato..Kilimo .Uvuvi na ufugaji kusukwa upya.Secta ya madini tayari na sasa mbioni secta ya Utalii nayo inafanyiwa kazi..Hizi secta zote zikiwa imara zitachangia pato la Taifa kwa 100% na ile dhana ya kutembeza bakuli ambayo ndo mmezoea nyie makuadi itakuwa ndoto ndani ya Nchi hii kupitia Comrade Rais shupavu,Jasili na mwenye maamuzi magumu na zaidi mwenye ghala lililo sheheni maarifa Dr John Pombe Magufuli
 
Jiwe na chama chetu cha mapinduzi tuko imara, tunajua uchumi wa nchi yetu unakuwa kwa zaidi ya 7% na wananchi wanapesa nyingi tu ndo maana hata TRA itashidwa kukusanya mapato yapatao sh 2.4 tillion kwa mwaka huu . Lakini unajenga Reli ya umeme SGR ya pili kwa ubora Africa, na Bwara la umeme la Rufuji. Ajira zimejaa tele na Mishahara unatarajia kuongeza laki 3 kwa kila mfanyakazi kwa kuanzia mwezi wa Saba.
Jiwe umejipambanua kwa mambo mengi, hivi inakuwaje hawa bank ya dunia na imf wapate kiburi cha kusema uchumi wa Tanzania utakuwa kwa 4% wakati wakijua kufanya hivyo nikuvunja sheria ya takwimu inayosema kuwa hakuna chombo chochote cha kutoa taarifa ya takwaimu isipokuwa NBS tu.
Kutokana na hawa watu kutaka kujidai kusema ukweli juu ya hali ya uchumi hasa kipindi hiki karibia na uchaguzi , sie wanaccm tunapendekeza uwafukuze nakuzifunga ofisi za IMF na Benki ya Dunia hapa Tanzania mara moja.
Sisi ni Matajiri, tumesoma, wasitubabaishe na vijisent vyao.
Jiwe na aamini hutakubali kujsihusha kwa kuruhu hawa IMF na benki ya dunia kuendelea kuwa Tanzania. Fukuza haraka wote nafunga ofis zao kuanzia kesho.
Wako jimmy
Sisi ni Dona Kantri
 
Akili yako ina uelewa mdogo sana..tunachokataa kupangiwa masharti ya hovyo..wewe unajua wanachokifanya hawa wajinga?mbona wao wanavyopora rasimali barani Africa hilo huwa hawazungumzi?Tumepata Rais bora Magufuli ujinga wao wapeleke huko sasa wanatafuta vijisababu tu
Alietupa Elimu, Tiba & Afya, Maarifa & Utaalamu.
Ndiye Mjinga?
Na mpk juzi tulionekana tukiomba Misaada.
Wanaotoa nguvu za Tambo zote majukwaan, Mjengoni etc etc,
.

Ur not serious kuwaita wajinga!!!
 
Angeikubali report ya CAG tu alafu akakaikataa World bank report mimi ningeungana naye but toka akatae report ya CAG MAGUFULI NI FISADI ZAIDI YA MAFISADI WOTE AFRICA
 
Naunga mkono. Awatimue upesi sana. Uchuni wetu unakua kwa 7+% wao eti wanasema 4%! Wanatudhalilisha. Waondokwe. Nchi yetu ni tajiri, wala hatuhitaji msaada wao!

CHAMA LET CCM TUNADHALILISHWA NA IMF NA WORLD BANK.. MAGUFURI FUKUZIA MBALI MBONA HERA ZAO ZA KUJENGA BARABARA YA UBUNGO HADI CHALINZE TULIZIKATAA NA TUKAAMUA KUJENGA SISI WENYEWE
 
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..

Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.

Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.

Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.

Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.

Alex Fredrick
Dar es salaam
Nyerere mwenyewe alimsoma huyo jamaa akaanza Utopia yake ya ujamaa na kujitegemea. Tuliishia kupewa yanga na wamarekani, tukavaa katambuga arusha to Moshi. Wewe temea mate pembeni. Hata US na UK wanakopa iwe sisi kajamba nani?
 
Huyo huenda amesoma title tuu, hajui content na context.

Anaonekana ni kijana mdogo hajui effects za anachokiongea, mwalimu aliwahi kutuingiza kwenye ugomvi na mabwana wakubwa hawa, mashikamoo tunakumbuka folen za sukari, unga wa ngano, soda, bia na Hata chumvi n.k. hajui anachokisema na anafuata mkumbo wa ujinga!

Labda angemtafuta mkubwa wake amsimulie kilichijili wakati wa kufunga mkanda, na wakati wa kusonga mbele na kutokugeuka nyuma kuepuka kuwa jiwe la chumvi!!!S
Sitasahau unga wa yanga, foleni ya sukari mpaka kibali toka kwa mwenyekiti wa kijiji, watu tulitumia pipi zile peremende kama sukari na zilikuwa na harufu mbaya. We sitaki kurudi huko.
 
Uamuzi wa kujiunga nao ni wa hiari; ila baada ya kuamua kujiunga nao hakuna hiari ila kutimiza masharti ya uanachama. Hampendi masharti ya uanachama simple: JIONDOENI KWENYE UANACHAMA.
Huwa raha sana, unapopingana na falsafa ya ukweli inayosema kuwa ukweli mda wote huwa haukubali kufichwa, wewe unakuja na falsafa zako za hapa kazi tu wkt kazi yenyewe ni ya kuliffissadi taifa tupu... Na kulazimisha uongo kuwa uchumi unakua wakati uchumi unakufa, biashara zinakufa, ajira zinakufa, mishahara hafifu, maisha magumu.
 
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..

Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.

Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.

Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.

Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.

Alex Fredrick
Dar es salaam
Umesahau kuandika namba ya simu ili wateuzi wakupate kiurahisi
 
Nyerere mwenyewe alimsoma huyo jamaa akaanza Utopia yake ya ujamaa na kujitegemea. Tuliishia kupewa yanga na wamarekani, tukavaa katambuga arusha to Moshi. Wewe temea mate pembeni. Hata US na UK wanakopa iwe sisi kajamba nani?

Kuna philosopher mmoja alisema long time ago hivi: a bad theory is always punished by practice.
 
Mtoa mada una ujinga wa kiwango Cha standard gauge.........kama unajua hi nchi huru kwa nini hadi barabara za mitaa munajenga na mikopo ya world bank,huwa munashikiwa bunduki kukopeshwa?
Fly over ya ubungo
 
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..

Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.

Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.

Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.

Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.

Alex Fredrick
Dar es salaam

Hogwash!!
 
Akili yako ina uelewa mdogo sana..tunachokataa kupangiwa masharti ya hovyo..wewe unajua wanachokifanya hawa wajinga?mbona wao wanavyopora rasimali barani Africa hilo huwa hawazungumzi?Tumepata Rais bora Magufuli ujinga wao wapeleke huko sasa wanatafuta vijisababu tu
Rais bora or bora rais?
 
Akili yako ina uelewa mdogo sana..tunachokataa kupangiwa masharti ya hovyo..wewe unajua wanachokifanya hawa wajinga?mbona wao wanavyopora rasimali barani Africa hilo huwa hawazungumzi?Tumepata Rais bora Magufuli ujinga wao wapeleke huko sasa wanatafuta vijisababu tu
utakuwa umezaliwa miaka ya 90 wewe! Tuliozaliwa miaka ya 60 tunaijua ladha la haya madude mawili yaani imf wb kwani yalibana na kuhakikisha shilingi ya nchi hii inaporomoka na hadi leo hii ipo huko mvunguni!
Mwl. Nyerere alikuwa kiongozi bora japo siyo kila idara na aliposhauriwa na wasio wachumi akawafungia vioo hawa jamaa. Tulikipata cha moto kwa kufunga mikanda na kufulia majani ya mipapai! Je, ndipo unapotaka turejee?
Linapofika suala la uchumi bora na imara ndipo anapotakiwa rais mzuri na kinyume chake akubali ushauri!
Kuna mahali watanzania hasa ccm mnakosea sana hasa mnapochanganya siasa na utaalam!
Hapa ndipo alipofeli mwk. Nyerere kwa kuwakimbiza na kuwapuuza kina Mtei! Shilingi yetu na ya Kenya zilikuwa sawa miaka hiyo lakini leo ni Pungufu Mara 23 kwasababu hatutaki kuwatumia wataalam wetu bila kuwavalisha jezi za ccm! Tuache tujadili na kushauri kuwa airuhusu tu ichapwe ili tujipange upya kwani ugomvi wa hao jamaa unatisha mno! Sipo tayari kupanga folleni ya kununua sukari ya mgao tena!
 
Ukiwa maskini jeuri utakuwa na njaa, eti unakuwa na msimamo hutaki kushauriwa! Acheni kupotoshana, Mwl. Julius Kambarage Nyerere alinyanyua mikono na kutupilia mbali ujamaa baada ya kuwa jiwe na washauri wake wa ndani na nje. Hakukubali kabisa kuachana na ujamaa. Tulipelekeshwa na kuaminishwa mambo kadhaa wa kadhaa. Mwisho alikuwa kunyanyua mkono.
Wanaofuatilia misimamo ya Magufuli kwa sasa wanamuweka katika mtu anayejaribu mfumo utakaomshinda. Nchi hii kwa muda hauzalishi japo imejaliwa rasilimali nyingi kwa maana ya Sera mbovu za ccm ambao rais anapigana kufanya na kupona kuilinda. Sera za kiuchumi kwa mfano, kuendesha nyingi bila sekta binafsi ni ndoto ya mchana kweupeee. Tangu awamu hii iingie madarakani timeshuhudia viwanda vingi na baadhi ya biashara kubwa kubwa kufungwa KUTOKANA na tozo kubwa ya kodi na mazingira mabaya ya uwekezaji.
Kwahiyo IMF na World Bank kushaurri haimaanishi tunageuka kuwa watumwa. Tazameni Kenya, fedha yake haijatetereka kwa muda toka na na uwekezaji mkubwa. Uchumi wa Kenya ni bora kuliko wetu. Tunapenda sana uongozi na hii ni nia MBAYA kuwatawala watu na kuwajengea hofu. Kwa kifupi tunafanya vibaya kwenye uchumi, tufunguke hatuwezi kwa Sera za ccm
 
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..

Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.

Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.

Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.

Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.

Alex Fredrick
Dar es salaam
IMF na world bank,wanaweza kuwa wabaya,na wana hila na nchi za kiafrika,kwa kutuwekea masharti magumu ili tuendelee kuwa maskini,
Lakini tujiulize,IMF na World bank ndio waliotutuma tufisadi Escrow akaunti,Bomba la gesi,Richmond,Rada aliyonunua Ben Mkapa,IMF ndio waliua kiwanda cha General tyre?,vipi kuhusu ufisadi unaoendelea kwenye harmashauri zetu,Spika wa bunge kuamishia ofisi ya bunge Kwenye hoteli ya daraja la nyota tano huko India.
Tillioni 1.5,hazina Maelezo.tusiwasingizie wazungu sisi wenyewe tumeoza mpaka tunanuka kwa ufisadi.
Hizi story kwamba kila anayehoji matumizi ya awamu hii,anabatizwa jina la beberu,kwamba mabeberu wanania mbaya na sisi,ni propaganda tu zinazofanywa na wanaonufaika na wizi huo.
Inakuaje wafadhili wana kuwa washiriki wazuri wanapotupa mikopo,ila wakihoji matumizi,wanakuwa mabeberu!tuache unafiki.
Presidaa anajitahidi,ila ukweli ni kwamba safari ni ndefu sana,ingekuwa ni safari ya kutoka Dar kwenda Bukoba,basi hata kimara bado hatujafika!
 
Miaka ya nyuma niliwai soma kitabu cha Mwaharakati wa Guyana ambaye hata miaka ya 70 aliwai fundisha chuo Kikuu cha Dsm. Kwenye kitabu hicho cha How Europe under developed Africa kwa tafsiri yangu ni:Jinsi Ulaya inavyoifukarisha Africa..

Ukisoma kitabu hicho utagundua mambo mengi sana kuhusu hawa jamaa Imf na world bank jinsi wanavyokuja na sera mbovu za kuendesha uchumi kwenye za Africa.

Na wakikuta Nchi ina msimamo kama tunavyoona hapa sasa Tanzania lazima wanakuja na mizengwe mingi ilmradi tu wao ndo wawe wanashauri wa sera zote za kuendesha uchumi wako.

Ifike mahala Watanzania tuache kushadadia vitu vya hovyo na kuacha mshikamamo na Utaifa wetu hasa kwenye mambo ya msingi kama haya.

Mh Rais Magufuli tunaomba endelea na msimamo wako katika kuendesha uchumi wa Taifa letu sio kupelekeshwa na hawa mabeberu ambao kimsingi huwa hawatutakii mema.

Alex Fredrick
Dar es salaam
Umeandika kitoto sana,maana hata ww unajua kati ya IMF na ss nani hujikomba kwa mwenzake,
Ukitaka kuwa huru JITEGEMEE 100%
 
Back
Top Bottom