Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,125
- 2,858
Ndo watuambie tujue kama tunaidai Tanzania au Iran au Rwanda ili tujue wanadaiwa sana ila nao wanadai deni kubwa
Hiyo ndio elimu ya Kenya tunayoambiwa ni Bora ukanda huu
Nipo nao kwenye hili jukwaa, ni kati ya watu wenye uelewa finyu sana niliowahi kukutana nao so far.