Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,873
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeripoti kuwa chanjo ni kichochea kikuu cha kukua kwa uchumi kwa nchi zinazoendela kipindi hiki ambacho uchumi wa dunia umeathiriwa na #COVID19
Shirika hilo limekadiria uchumi wa Kenya kukua kwa 5.6% kwa mwaka 2021 kutoka 6.3% iliyokadiriwa awali
Aidha mfumuko wa bei umefikia 6% kutoka 5.2% iliyokuwa mwaka 2020. Uchumi wa Kenya umesinyaa kwa 0.3% mwaka 2020
Shirika hilo limekadiria uchumi wa Kenya kukua kwa 5.6% kwa mwaka 2021 kutoka 6.3% iliyokadiriwa awali
Aidha mfumuko wa bei umefikia 6% kutoka 5.2% iliyokuwa mwaka 2020. Uchumi wa Kenya umesinyaa kwa 0.3% mwaka 2020