Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Imevuja, Mwenyekiti wa Chadema jana aliwaeleza wajumbe licha ya kukutana na uongozi wa ACT siku chache zilizopita, kujadili ushirikiano lakini kimsingi yeye binafsi hataki ushirikiano na ACT japo suala hilo halitawekwa hadharani.
Baadhi ya wajumbe walisikika wakisema "ni Bora tushirikiane na CCM kuliko ACT"..
Sababu kutoshirikiana na ACT ni Zitto?Maalim Seif au.....?
Mambo ni mengi muda mchache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imevuja, Mwenyekiti wa Chadema jana aliwaeleza wajumbe licha ya kukutana na uongozi wa ACT siku chache zilizopita, kujadili ushirikiano lakini kimsingi yeye binafsi hataki ushirikiano na ACT japo suala hilo halitawekwa hadharani.
Baadhi ya wajumbe walisikika wakisema "ni Bora tushirikiane na CCM kuliko ACT"..
Sababu kutoshirikiana na ACT ni Zitto?Maalim Seif au.....?
Mambo ni mengi muda mchache.
Sent using Jamii Forums mobile app