Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #61
Endelea kusubiri habari rasmikumbe ni habari zisizo rasmi mkuu.
Endelea kusubiri habari rasmikumbe ni habari zisizo rasmi mkuu.
Jimbo lake lipo Ulaya? Au umesahau kuwa yupo kwenye matibabu Ulaya?Lissu kaona ni rahisi sana kutembelea vyombo vya habari kuliko kutembelea wananchi wa Jimbo lake na watanzania tuliomuombea apone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wanaoona hajatimiza lengo ni wale ambao wametizama hardtalk kwa mara ya kwanza. Na wasiojua kiingereza. Lissu kafanikiwa sanaNdugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Jimbo.Jumbo lake lipo Ulaya? Au umesahau kuwa yupo kwenye matibabu Ulaya?
Natamani kujiunga na B7 na mimi niweze kumuambia mke wangu abandike mboga naenda kuleta unga, hata kama nimefulia.Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Kamanda uchumi ni sehemu ya siasa,kwani Lissu anaongeaaaa siasa tu?si mgombea urais kwani umesahau?Unaona, ni watu wa kizazi chetu wanaweza kutoa ushahidi kutetea hoja zao, asanate kwa kufaya hivyo.
Huu ni ushaidi usio tetea hoja uliyoitoa. Mahojiano haya ni kuhusu uchumi wa nchi. Ushahidi tunaouhitaji hapa na ambao ungetetea hoja yako ni:-
1. Maombi yakutaka kukutana na CNN au mwaliko kutoka CNN.
2. Majibu ya kukubali mwaliko kutoka kwa Mhe. Tundu Lissu kwenda CNN au majibu ya ombi la Mhe. Tundu Lissu kutoka CNN
3. .Barua ya kuomba kuhairisha mahojiano au kufuta mahojiano kutoka kwa Mhe. Lissu na humo ndani zingekuwepo sababu.
Si huyo anafanya media tour za kwenye vyombo vya kimataifa? Au hujamuona kahojiwa BBC Swahili na Hard talk? Na wewe upo Tanzania umemsikia na kumuona, au ni kiziwi na kipofu?Jimbo.
Ata hivyo hatuzungumzii matibabu, tunazungumzia media tour.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda wewe unayejua kizungu tuambie alizungumza nini?kwanini uvccm mnawashwawashwa na lissu? si kwenye magroup yenu mnasema lissu kashindwa kujibu maswali hadi ikafikia polepole kusema mwandishi wa habari ni mwanachama mpya wa ccm. Subirini ahojiwe na ccn ili aendelee kujiaibisha na nyie mpate kick. Au mnataka kutudhihirishia na msemo wa jamaa mmoja kuwa "waliomuelewa tundu lissu wengi ni uvccm ambao hawajui kiingereza"
Ndugu watanzania wenzangu msisikilize porojo zozote kutoka kwa mtu mwenye haraka ya kunyonyesha mtoto mchanga , Ratiba ya ziara ya Mh Lissu imewekwa humu na Erythrocyte .Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]