Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Daa Tundu Atipas Mugwai Lissu yupo juu sana Duniani kwa sasa ndo maana Watanzania karibu wote wake kwa waume tunafuatila habari zake maana isingelikuwa hivyo asingelitunyima usingizi, Viva baba lao viva Lissu umetushika pabaya vilivyo kwa sasa paka tushike adabu
Mie nadhani asiyepata usingizi ni Zitto peke yake, maana ana mahaba na mafont peji Sie wengine ndo wale wale wa siku zote, mchana tunasema weee, usiku tunalala. Ndo desturi yetu.
Zitto huko aliko lazima anaumiza kichwa kulisuka lakuibuka nalo ili arudi kwenye majukwaa. Ngoja uone.
 
Richard Quest pia ni shoga waziwazi. Ijumaa ya 18/4/2008 alikamatwa Central Park New York akifumuliwa marinda na njemba huku wakiwa high kwenye madawa ya kulevya ya methamphetamine, na madawa mengine alikuwa nayo kwenye soksi.

Lakini kwakuwa kufumuana marinda huko kwao ni ruksa, alikamatwa kwa kosa la kuwa ndani ya Central Park saa 9 za usiku wakati Park ilishafungwa saa 7 za usiku.
Na police report ilionyesha pia alikutwa akiwa amejifunga kamba shingoni na upande mwingine wa kamba umefunga mapumbu yake na penisi (Mambo ya SM sex hayo ;)). Walikutwa pia na vifaa vingine vya kutanua zaidi marinda.
Mwisho wa siku akahukumiwa kwenda tu rehab kwa miezi 6 ili aache kutumia madawa.

Enzi hizo Quest alikuwa mdaku sana wa kuripoti mambo ya mahusiano ya watu wengine maarufu, tangu yamkute, amekuwa akijikita sana kwenye uchumu na siasa.
Nakumbuka ni vyombo vya udaku tu kama TMZ ndo viliripoti hii. Vyombo vikubwa viliingia makubaliano na CNN kuwa wasiripoti na kwenda mbele hawataripoti tena personal scandals za watu wao.

Inawezekana baada ya sintofahamu ya kuwa ushoga bongo ruksa 2020 tutakapompa nchi Lissu, wapambe wameona labda wasubiri upepo upite kabla gwiji la MarindaWazi halijaingia kwenye picha.
taarifa muhimu hii
 
Mahojiano ni popote hata akiwa tz CNN wanaweza kumuhoji na habari tukazipata kama ilivyo,
 
RICHARD QUEST KWENDA KUONGELEA MAMBO YA BUSINESS AU? juzi mmezusha kuhusu hard talk kumbe tarehe moja ni repeat ya kipindi cha tarehe 28 jana cha mlibya leo tena ni kuhusu mtangazaji wa kipindi cha business.OH WAIT A MINUTE, hivi najaribu kuyaelimisha ma bumunda ya lumumba team vigelegele? gat out of here GERRARIA idiots.
 
alafu huyo jamaa ni shoga. nilikua namfatilia sana kipindi chake ila baada ya kugundua anatoa 0713 nikampuuza.
 
Tundu Lisu mahojiano iwe na press au la hawezi yuko weak.Hana uwezo wa Ku catch swali quickly na akili kuwaza na kutoa jibu quickly.Anachoweza yeye ni Ile one way talk ambapo yeye tu ndie mwongeaji .Hapo ataongea na kuongea na kuongea.Hadi maiki iishiwe betri
 
Wamdiscredit kwa lipi alilo nalo!? Yeye anasubiliwa airport akajibu nwanwa zake.
Kuna mtu anaitwa Daniel Buberwa ninamfahamu sana, nashindwa kuridhisha akili yangu kuwa aweza kuwa yeye maana he is very bright kuwa anaandika post za aina hii!
Huyu ni kauzu!!
 
Buberwa labda umefoji jina, watu wa majina hayo ni magenius sio vitororo!!
Mtu kapigwa marisasi bado azuiliwe kuongea.
Nyie Lumumba agents vipi??
 
Kuna mtu anaitwa Daniel Buberwa ninamfahamu sana, nashindwa kuridhisha akili yangu kuwa aweza kuwa yeye maana he is very bright kuwa anaandika post za aina hii!
Huyu ni kauzu!!
Hahahahaha. Huyu usicheze nae.
 
Back
Top Bottom