Mie nadhani asiyepata usingizi ni Zitto peke yake, maana ana mahaba na mafont peji Sie wengine ndo wale wale wa siku zote, mchana tunasema weee, usiku tunalala. Ndo desturi yetu.Daa Tundu Atipas Mugwai Lissu yupo juu sana Duniani kwa sasa ndo maana Watanzania karibu wote wake kwa waume tunafuatila habari zake maana isingelikuwa hivyo asingelitunyima usingizi, Viva baba lao viva Lissu umetushika pabaya vilivyo kwa sasa paka tushike adabu
Zitto huko aliko lazima anaumiza kichwa kulisuka lakuibuka nalo ili arudi kwenye majukwaa. Ngoja uone.