Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Ahhaahhaahah ngoja akukuteHuyo ana medali kabisa!
Ahhaahhaahah ngoja akukuteHuyo ana medali kabisa!
Hahah..! Haya bhana mdangaji.
Yeah mkuu.. Punyeto ni mbaya sana ukiianza na kuizoea ni ngumu kuacha.. Ila nilihakikisha nimeachaNimesoma maelezo yako inaonekana umepiga kwanza nyeto kisha baada ya kumaliza uka -regret sana ndugu
Yeah ule utamu wa asili huupati maana unakua umetengeneza usugu kwenye shaftiNi kweli na kama umezoea hii kitu ukikutana na demu hufeel venye huwa unafeel ukifika climax
Naam!!Wewe unayekanda ngano/piga single fixed pulley/ Masturbation/ piga goli la mkono/washa gari kwa kusukuma/ kufua dafu.
Ukianza kujihisi unakosa uwezo wa kuona mbali wala usishangae. Ukianza kujiona unakosa uwezo wa kujiamini na kuwa domozege wala usishangae, ukiona huwezi kuwasha gari automatic kila ukikutana na bibie wala usistaajabu.
Ni matokeo ya mchezo wako
Naunga Mkono Hoja..Nyeto ni nzuri
1. Haiombi hela
2. Anytime anywhere
3. Haidanganyi
4. Haina period
5. Unajichagulia kipenyo.... ukiamua leo bwawa, kesho mnato keshokutwa goti unabadili kipenyo tu.
6. Ukimaliza unajutia then unarudia.
7. Haina magonjwa.