Elections 2015 Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda

Kwa hiyo Limbu ni uthibitisho usio na shaka? Segerea madiwani wengi ni UKAWA lakini mbunge CCM. Tanga madiwani UKAWA lakini meya CCM. Halafu mnatumia logic hiyo? Uthibitisho USIO SHAKA utatolewa na TUME YA UCHAGUZI PEKEE. Wengine wote ni guess work.
CCM WAMELAZIMISHA KWA KUTUMIA WAKURUGENZI KUTANGAZA MATOKEO AMBAYO NI YA KUGUSHI. UNATAKA KUSEMA KWAMBA TANGA CCM WALISHINDA KWA HALALI UMEYA? MBONA UTAKUWA NA UFAHAMU MDOGO UNAJUA KILICHOFANYIKA TANGA NI KULAZIMISHA HALAFU UNATOLEA MFANO? UNASHANGAZA SANA
 
CCM WAMELAZIMISHA KWA KUTUMIA WAKURUGENZI KUTANGAZA MATOKEO AMBAYO NI YA KUGUSHI. UNATAKA KUSEMA KWAMBA TANGA CCM WALISHINDA KWA HALALI UMEYA? MBONA UTAKUWA NA UFAHAMU MDOGO UNAJUA KILICHOFANYIKA TANGA NI KULAZIMISHA HALAFU UNATOLEA MFANO? UNASHANGAZA SANA
Mkuu VIVIANET,
Hawa wengine unadhani hawajui kinachoendelea au ni ushabiki mandazi tu?

Wanacheza na AMANI tuliyopewa na MUNGU, sasa tuombe umri na afya yafike hayo wanayoyataka.

Upuuzi wote unaoharwa na wajinga wachache kama sio wengi wao wataushuhudia.
 
Pasco, inaonekana ama hujui nini kimesababisha uchaguzi urudiwe ama unafanya makusudi. CUF wanajua kuwa uchaguzi ukirudiwa hawawezi kushinda. Bao la mkono walilofunga limekataliwa na mwamuzi na hivyo kuamuru mpira wa adhabu kuelekezwa kwenye lango la timu iliyopoga bao hilo la mkono.

CUF wanajua kuwa CCM itaelekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi huo na hivyo hakutakuwa na fursa tena ya bao jingine la mkono. Kinachogomba hapa si kwamba maalim seif alishinda ama la. Bali ni zile rafu walizocheza CUF mpaka wakajipatia ushindi rafu ambazo zilielezwa bayana na mwamuzi wa mchezo huo, Mzee Jecha
Hizo rafu hazikuhusika na kura za wabunge?
 
Pasco, inaonekana ama hujui nini kimesababisha uchaguzi urudiwe ama unafanya makusudi. CUF wanajua kuwa uchaguzi ukirudiwa hawawezi kushinda. Bao la mkono walilofunga limekataliwa na mwamuzi na hivyo kuamuru mpira wa adhabu kuelekezwa kwenye lango la timu iliyopoga bao hilo la mkono.

CUF wanajua kuwa CCM itaelekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi huo na hivyo hakutakuwa na fursa tena ya bao jingine la mkono. Kinachogomba hapa si kwamba maalim seif alishinda ama la. Bali ni zile rafu walizocheza CUF mpaka wakajipatia ushindi rafu ambazo zilielezwa bayana na mwamuzi wa mchezo huo, Mzee Jecha
Ikiwa wabunge na Rais wa muungano kura safi na aliyechagua ni yule yule sasa iweje kwa Zanzibar kuwe na bao la mkono?
 
Hata hapa JF, jukwa gwiji lenye kujinasibu "where we dare yo talk openly" na " be the first to know" huo ushahidi wa ushindi wa Maalim haujawahi kuonekana kamwe.
Kuna madai yalikuja hapa jukwaani kuwa vyombo vya habari vya kimataifa na balozi mbalimbali walipewa.
Hakuna hata mmoj wao alokwisha onyesha hizo kitu wala kuthibitisha madai ya Maalim.
Hivyo basi kama kweli walipewa wamempuuza Maalim au wameona ushahidi ni wa magumashi.
Kama unao tuwekee hapa ubishi uishe.
 

Attachments

  • 1453575079751.jpg
    1453575079751.jpg
    20.2 KB · Views: 63
  • 1453575130921.jpg
    1453575130921.jpg
    37.8 KB · Views: 64
  • 1453575152365.jpg
    1453575152365.jpg
    41.1 KB · Views: 65
  • 1453575171533.jpg
    1453575171533.jpg
    35.9 KB · Views: 58
  • 1453575189781.jpg
    1453575189781.jpg
    40.5 KB · Views: 64
SASA NINI KINAWASUKUMA SAFARI HII KUTAKA UCHAGUZI URUDIWE KAMA WALIWEZA KUKATAA 2000? MBONA WANAKUWA WASAHULIFU?
Ni kutaka kuhalalisha ung'anganizi wa madaraka tu. Tayari inajulikana ni nani Jecha atamtangaza "mshindi". Wanayofanya ni maigizo na usanii kwenda mbele.

25.10.2015 CCM walipigwa vibaya sana, mwenyekiti wa ZEC na CCM walichanganyikiwa, wasingeweza kumtangaza "mshindi wao" kwa sababu Seif aliwawahi, aliwaambia tayari anazo fomu za matokeo zinazotoka majimboni na zinaonesha ameshinda.

Plan B, tuma jeshi na polisi ili kutengeneza mkwamo. Hiyo ndio ZEC ,Tume "huru" ya uchaguzi na CCM wang'anganizi wa madaraka.

Uzuri ni kuwa tukio hili la mara hii limewahabarisha watanzania wote uhalisia wa CCM kukwapua ushindi wa Seif kwa mara ya 5 na pia kuithibitishia dunia kuwa Tanzania ni nchi ya DOMO-krasia ambayo Uchaguzi ni maigizo tu na serikali/nchi haitolewi kwa vikaratasi.

Mfalme anatembea bila nguo.

Ile studio aliyotumia Jecha kurekodia Taarifa ya uchaguzi wa marudio iko wapi?
 
SASA KITU GANI KILIWASHINDA ZEC KUTANGAZA KAMA WANAO USHINDI HALANI WA SHEIN? KAMA KWELI SEIF HAKUSHINDA WAMTANGAZE SHEIN..UKWELI UNAJULIKANA KUWA CCM WAMESHINDWA NA WANATUMIA VYOMBO VYA DOLA VIBAYA KUTAKA KUVURUGA NCHI CCM OGOPENI KUSABABISHA MACHAFUKO
 
Hili ni swali zuri sana, labda ungefafanua waende mahakamani kwa shtaka lipi?
Kumbuka uchaguzi ulikuwa hajamalizika na matokeo yalikuwa bado yanaendelea kujumlishwa
Hapa pia nasisitiza, kujumlisha maana yalishatoka majimbo na walioshindwa wakasaini
Zaidi ya hapo, hakuna lalamiko lolote la chama chochote kule majimboni hadi siku 2 uchaguzi ulipofutwa

Nisaidie waende mahakamani wakidai nini?
Mkuu nguruvi ni hivi ....ooh mwenyekiti wa tume alikuwa hana mamlaka......ooh shein sio raisi wa zanzibar.ooh wamevunja katiba kusema uchaguzi urudiwe .sasa kwanini cuf/ukawa hawajaenda mahakamani???
 
Mkuu nguruvi ni hivi ....ooh mwenyekiti wa tume alikuwa hana mamlaka......ooh shein sio raisi wa zanzibar.ooh wamevunja katiba kusema uchaguzi urudiwe .sasa kwanini cuf/ukawa hawajaenda mahakamani???
Swali langu lipo pale pale, hebu niambie hoja moja tu ya CUF kwenda mahakamani.

Pili, TUME YA UCHAGUZI haikuwa kufuta uchaguzi. Narudia tume haikuwahi kufuta uchaguzi
 
Mkuu nguruvi ni hivi ....ooh mwenyekiti wa tume alikuwa hana mamlaka......ooh shein sio raisi wa zanzibar.ooh wamevunja katiba kusema uchaguzi urudiwe .sasa kwanini cuf/ukawa hawajaenda mahakamani???

Swali langu lipo pale pale, hebu niambie hoja moja tu ya CUF kwenda mahakamani.

Pili, TUME YA UCHAGUZI haikuwa kufuta uchaguzi. Narudia tume haikuwahi kufuta uchaguzi
Nilisikia wameenda kushitaki kwa papa!
 
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili waweze kupata ushindi wa bao la mkono!.

Msomi Kidawi Limbu amesema uthibitisho kuwa CUF ndio iliyoshinda, ni matokeo ya uchaguzi uliosimamiwa na NEC kule Zanzibar ambao uchaguzi haukuwa na dosari, katika uchaguzi huo, mgombea wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa, alimgaagaza vibaya mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

Kwa vile wapiga kura ni wale wale, na chama cha wananchi CUF, kilikuwa ni msharika katika UKAWA, haiwezekani wapiga kura wale wale, wamchague mgombea wa UKAWA kwenye urais wa Muungano na kumpiga chini mgombea wa CCM, halafu wapiga kura hao hao, wakaja kumpigia kura mgombea wa CCM, kwenye uchaguzi wa Zanzibar, hivyo amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, CUF ilishinda, Maalim Seif Shariff Hamad, ndie rais halali wa Zanzibar ila hajatangazwa!.

Matokeo Rasmi ya uchaguzi ya Urais wa Zanzibar ambayo yanaonyesha wazi kuwa CCM imeshindwa kwa kura nyingi sana kwa kiwango na uzoefu wa Zanzibar, hata kura za Urais wa Jamhuri ya Muungano kwa upande wa Zanzibar zinaonyesha hivyo hivyo na kwa hiyo kuthibitisha kuwa CCM ilipoteza uchaguzi huo. Kwa muhtasari matokeo ya Urais wa Muungano kwa upande wa Zanzibar ni kama yafuatavyo:


MGOMBEA KURA HALALI ASILIMIA

DR. JOHN POMBE MAGUFULI 194,317 46.5%

EDWARD NGOYAYE LOWASSA 211,033 50.50%

IDADI YA KURA HALALI 417,882

Matokeo ya kura za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani yote yanaonyesha CCM imeshindwa kwa idadi ya kura za walio wengi (popular votes). CCM imeweza kupata viti sawa na CUF katika uwakilishi na ubunge kwa sababu ya mbinu zilizotumika katika ukataji wa majimbo.

Maadam tarehe ya uchaguzi wa marudio imeishatangazwa , na kama ni kweli Seif Shariff Hamad, alishinda, kuna ubaya gani kama CUF watashiriki tena uchaguzi huu wa marudio na kuwa makini sana na bao la mkono, hivyo Maalim Seif Shariff Hamad, si ni atashinda tena?!.

Source: Nimemsikia mwenyewe kwa masikio yangu!.

Pasco

Salimini Amour alimshinda Seif kwa kura moja !
 
unambiwa kura pemba zilikua zimezidi idadi walioandikishwa. nini implication yake? ni kwamba wapemba wamepiga kura zaidi ya mara moja au mamluki waliletwa. sasa hii ndio kura za lowassa kuzidi magufuli. sijaona nini unashangilia kama data yako ni kaulu ya huyo limbu.
Sasa wewe unapingana na Lubuva aliyesema hizo kura hazina dosari na zinasimamiwa na NEC na siyo ZEC na hata kidole cha kupaka rangi ni tofauti?

Bure kabisa weeewe...........
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom