Kuna yeyote ambaye amefuatilia Dr. Mgimwa alianzaje kuumwa, na kutibiwa wapi halafu ndipo akahamishiwa Afrika ya Kusini?
Unajua haitusaidii sana kuzika wafu wetu na kuacha kuwafuatilia waliowauwa. Mara ya mwisho kulikuwa na tetesi kuwa Dr. Mgimwa alilishwa sumu.
Hata kama ni tetesi ni vizuri kujua ukweli kwa sababu kama kuna watembeza sumu mtaani si vizuri kuwaficha au kuwapuuza na kuacha wajulikane kwa watu wachache tu, hatari kwa wengine wasiowajua pia ipo.
Duh! Mkuu Ben Saanane ndiyo nani huyo! Alikuwa mpishi wa marehemu? Unajua Mawaziri wengi sana wanaumizwa na wahudumu wanaowapelekea chai maofisini. Msichana akikutana na wenye shida wakampa kamkataba Waziri kwisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.