Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
- Thread starter
- #241
Umesahau kwamba ugomvi umeanzia supermarket alikokuwa ananunua vitu vya kupeleka nyumba ndogo? Kwa hiyo baada ya kumtwanga mkewe akaenda nyumba ndogo kupeleka vile vitu na kumsimulia yaliyotokea!
Huwezi kujua, pengine alishatoa ahadi kwa nyumba ndogo kwamba anamtafutia sababu mkewe waachane ili ahamie huko moja kwa moja! Ila huyo nyumba ndogo naye atakufa mdogo wazi kwa kuiba mume wa mwenzie, malipo ni hapa hapa duniani.......!!!
nastopu kwanza home kwa frnd nimcheki baby anaendeleaje then gia inayofuata ni huko hosp nicheki mambo then ndio nijue naanza kumsaguria wapi huyu mtu, labda awe ametowekea arusha.....yaani huyu mwanamke lazima nimpate wallaah,nimeshamuomba frnd wangu mmoja anafanya kazi kwenye kampuni ya cmu ili anifanyie jitihada fulani....