Imeniuma sana na imenickitisha sana...

we mzee cjui ni shoga au bwabwa!!

vyovyote utakavyosema ila jaribu kuki apply kile unachofundishwa darasani, ionyeshe jamii kuwa we ni educated.
Uandishi wako ni mbovu, jaribu kuandika vizuri.
 
vyovyote utakavyosema ila jaribu kuki apply kile unachofundishwa darasani, ionyeshe jamii kuwa we ni educated.
Uandishi wako ni mbovu, jaribu kuandika vizuri.

wewe unanambia kama nani sasa?***** zako
 
jamaa linaboa sana yan,halijawah changia k2 cha maana humu jf zaidi ya kuponda 2.

mwanaume huwa halalamiki anapopondwa, anachukua kama challenge. Wanawake ndio wanaopaniki na kutukana hovyo. Nina wasiwasi na jinsia yako. Ila badili uandishi wako ni wa kitoto.
 
wewe unanambia kama nani sasa?***** zako

unazidi kupambanua ujinga wako. Kwani anayepaswa kukuelimisha anapaswa aweje?. Mtu yeyote anayonafasi ya kukukosoa. Matusi si suluhisho ndg.
 
kwanini ummwambia ivyo mwenzio?

yaan ulichokiona ni kuandika vbaya lakin ujumbe pia aujaupata au?
dah R.I.P sister.

Rose1980, unajua watu wengune wamelelewa kimtoto wa kambo, all the tine they expect in their lives is negation about their lives and those of others!
 
uandishi wako mbovu. Nimeshakukanya mara nyingi. Hivi chuo si mnasoma "communication skills"! Mmefundishwa upuuzi huu.
you grown up br................usiseme kitu kisa fulani kasema,hata ka uandishi mbovu ujumbe si umeupata?
 
jamani kumbe na nyinyi huy jamaa anawaboa ee!mi nilzani peke yangu,halaf nna waswas cjui km hajawahi kuugua wazimu huy kiumbe,maana hat haeleweki halaf anaonekn ht km kasoma bas hajaelimika kabisa mana kichw chake ni boks tupu lilojaa upupu na pumba.But nimegundua kuwa anatk umaarufu kuptia negative ways!
 
Wadau hawa loans board mwaka huu cjui vp!!leo katka pita pita zangu hapa main cumpus ya udsm,nkabahatka kukutana na dogo flani hvi ambae ni 1st year,anatokea shinyanga,kilicho nifanya nimsemeshe ni hali ambayo nimemuona nayo,yan,ana huzuni na anaonekana ni m2 ambae amekata tamaa hata ya kuishi,huyu dogo amemalza kidato cha 6 mwaka huu pale galanos sec school-tanga,na ana dvision 1.7 amechaguliwa kusoma bsc with geology hapa ud,lakn cha kushangaza kama co cha kuckitsha,eti loans board wamemuambia ni previous loanee,yan ameishaga wahi pewa mkopo na wkt ndo kamalza 4m 6 mwaka huu,katka kumdadc dogo,nkagundua ni mmoja wa vijana toka familia za kimaskin sana,kanambia amefka dar tangu ijumaa lakn tangu amefka mambo hayaelewek,ye mwenyewe mbali na nauli alyokuwa nayo alikua na laki 1 na 20 ya kufanyia regstration,hapo hajalipa cost zngne za chuo na ada maana hana bumu...hana pa kulala,wel, kwa sababu me nna rum kitaa nimeamua kumsave,atalala na atakula bt mstakabali wake wa registration ndo ngoma,as anatakiwa kulipa nusu ya ada ndo aweze kusajiliwa...jaman hvi loans board wako seriouz na kazi kweli au vp maana wa2 kama hawa ndo walitakiwa kupewa vipaumbele??

Yule waziri wa elimu kazi yake ni kutetea upupu tu...loans board ni janga kwa upande wa elimu ya juu wakuu..
 
mwanaume huwa halalamiki anapopondwa, anachukua kama challenge. Wanawake ndio wanaopaniki na kutukana hovyo. Nina wasiwasi na jinsia yako. Ila badili uandishi wako ni wa kitoto.

unazidi kupambanua ujinga wako. Kwani anayepaswa kukuelimisha anapaswa aweje?. Mtu yeyote anayonafasi ya kukukosoa. Matusi si suluhisho ndg.

Hapo kwenye RED, kama una2mia kingereza bas andika kwa kingereza "wanaopaniki" au ujui panic inaandikwa hivo?? aya iyo red nyingne "ndg" ulimaanisha nn? je ni ndege,ndogo au nin??? kama wewe ndo unajifanya languaje police bas wew unastahili kuzikwa bila jeneza!
 
kweli bongo matutusa kibao 2naongea isue za msingi mnaleta uchumba,nendeni mkapige mabusu viatu vya mabwana zenu ikulu cc 2lie na dogo apate loan na safe plac,
 
Mkuu wangu senetor, kama ni kweli,basi Mungu akubariki sana na akuzidishie mara dufu, upate GPA kuanzia upper second ya ukweli! Me lov u..
 
Mkuu wangu senetor, kama ni kweli,basi Mungu akubariki sana na akuzidishie mara dufu, upate GPA kuanzia upper second ya ukweli! Me lov u..

asante mkuu..maisha kusaidiana bana..
 
uandishi wako mbovu. Nimeshakukanya mara nyingi. Hivi chuo si mnasoma "communication skills"! Mmefundishwa upuuzi huu.

Asa huu ndo uwandishi wetu....walengwa 2meelewa..ww unaejikuta mwalimu wa lugha kafundishe wajukuu zako...hapa tunachangia mada ya msingi
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom