Imeniuma sana na imenickitisha sana...

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,044
1,999
Wadau hawa loans board mwaka huu cjui vp!!leo katka pita pita zangu hapa main cumpus ya udsm,nkabahatka kukutana na dogo flani hvi ambae ni 1st year,anatokea shinyanga,kilicho nifanya nimsemeshe ni hali ambayo nimemuona nayo,yan,ana huzuni na anaonekana ni m2 ambae amekata tamaa hata ya kuishi,huyu dogo amemalza kidato cha 6 mwaka huu pale galanos sec school-tanga,na ana dvision 1.7 amechaguliwa kusoma bsc with geology hapa ud,lakn cha kushangaza kama co cha kuckitsha,eti loans board wamemuambia ni previous loanee,yan ameishaga wahi pewa mkopo na wkt ndo kamalza 4m 6 mwaka huu,katka kumdadc dogo,nkagundua ni mmoja wa vijana toka familia za kimaskin sana,kanambia amefka dar tangu ijumaa lakn tangu amefka mambo hayaelewek,ye mwenyewe mbali na nauli alyokuwa nayo alikua na laki 1 na 20 ya kufanyia regstration,hapo hajalipa cost zngne za chuo na ada maana hana bumu...hana pa kulala,wel, kwa sababu me nna rum kitaa nimeamua kumsave,atalala na atakula bt mstakabali wake wa registration ndo ngoma,as anatakiwa kulipa nusu ya ada ndo aweze kusajiliwa...jaman hvi loans board wako seriouz na kazi kweli au vp maana wa2 kama hawa ndo walitakiwa kupewa vipaumbele??
 
Mkuu hii serikali yetu migomo wanaitaka wenyewe nakuhakikisha kama serikali kupitia heslb na moe awajatatua hili suala hili mapema migomo itaanza mwanzoni mwasemester . Na hii migomo chanzo cha ni serikali ,mwaka huu sijui ...
 
Wadau hawa loans board mwaka huu cjui vp!!leo katka pita pita zangu hapa main cumpus ya udsm,nkabahatka kukutana na dogo flani hvi ambae ni 1st year,anatokea shinyanga,kilicho nifanya nimsemeshe ni hali ambayo nimemuona nayo,yan,ana huzuni na anaonekana ni m2 ambae amekata tamaa hata ya kuishi,huyu dogo amemalza kidato cha 6 mwaka huu pale galanos sec school-tanga,na ana dvision 1.7 amechaguliwa kusoma bsc with geology hapa ud,lakn cha kushangaza kama co cha kuckitsha,eti loans board wamemuambia ni previous loanee,yan ameishaga wahi pewa mkopo na wkt ndo kamalza 4m 6 mwaka huu,katka kumdadc dogo,nkagundua ni mmoja wa vijana toka familia za kimaskin sana,kanambia amefka dar tangu ijumaa lakn tangu amefka mambo hayaelewek,ye mwenyewe mbali na nauli alyokuwa nayo alikua na laki 1 na 20 ya kufanyia regstration,hapo hajalipa cost zngne za chuo na ada maana hana bumu...hana pa kulala,wel, kwa sababu me nna rum kitaa nimeamua kumsave,atalala na atakula bt mstakabali wake wa registration ndo ngoma,as anatakiwa kulipa nusu ya ada ndo aweze kusajiliwa...jaman hvi loans board wako seriouz na kazi kweli au vp maana wa2 kama hawa ndo walitakiwa kupewa vipaumbele??

Hufai kupewa mkopo wa Chuo Kikuu, hata kuandika hujui. Rudi sekondari.
 
hivyo hivyo m2 wangu,tusaidiane.....tuwe wavumilivu tu...the day will come.....ccm itabaki historia,sisi wanafunzi tunateseka sana.
 
Haya ndo matokeo ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania, Nampa pole sana huyo Chalii yangu, Lakini bado nitaendelea kuiasa jamii hii ya Kitanzania sababu makosa tunayo sisi Watanzania&nbsp; wenyewe, Sera zinazotuongoza katika Nchi hii na kutekelezwa na viongozi tuliowachagua sisi wenyewe ndizo zinazotuletea Matatizo haya na bado tunawalea viongozi hawa. Nawaombeni Ndugu zangu, tuamke kudai haki zetu na kupewa mahitaji muhimu, tumechoka Kumsingizia Mungu kwa kila Jambo, Wakati Matatizo tunayasababisha sisi wenyewe tukiwa tunaishi katika Nchi yenye Kila aina ya Rasilimali aliyotupa Mungu.<br>Watanzania TUAMKE- We need Changes. <br>Pole sana kwa Bro kwa kumpa tafu Dogo. Big Up
 
Acha waendelee kuwakopesha akina riz 1 wife..na vigogo wengine...sikuzao zinahesabika
 
Wadau hawa loans board mwaka huu cjui vp!!leo katka pita pita zangu hapa main cumpus ya udsm,nkabahatka kukutana na dogo flani hvi ambae ni 1st year,anatokea shinyanga,kilicho nifanya nimsemeshe ni hali ambayo nimemuona nayo,yan,ana huzuni na anaonekana ni m2 ambae amekata tamaa hata ya kuishi,huyu dogo amemalza kidato cha 6 mwaka huu pale galanos sec school-tanga,na ana dvision 1.7 amechaguliwa kusoma bsc with geology hapa ud,lakn cha kushangaza kama co cha kuckitsha,eti loans board wamemuambia ni previous loanee,yan ameishaga wahi pewa mkopo na wkt ndo kamalza 4m 6 mwaka huu,katka kumdadc dogo,nkagundua ni mmoja wa vijana toka familia za kimaskin sana,kanambia amefka dar tangu ijumaa lakn tangu amefka mambo hayaelewek,ye mwenyewe mbali na nauli alyokuwa nayo alikua na laki 1 na 20 ya kufanyia regstration,hapo hajalipa cost zngne za chuo na ada maana hana bumu...hana pa kulala,wel, kwa sababu me nna rum kitaa nimeamua kumsave,atalala na atakula bt mstakabali wake wa registration ndo ngoma,as anatakiwa kulipa nusu ya ada ndo aweze kusajiliwa...jaman hvi loans board wako seriouz na kazi kweli au vp maana wa2 kama hawa ndo walitakiwa kupewa vipaumbele??

uandishi wako mbovu. Nimeshakukanya mara nyingi. Hivi chuo si mnasoma "communication skills"! Mmefundishwa upuuzi huu.
 
Wadau hawa loans board mwaka huu cjui vp!!leo katka pita pita zangu hapa main cumpus ya udsm,nkabahatka kukutana na dogo flani hvi ambae ni 1st year,anatokea shinyanga,kilicho nifanya nimsemeshe ni hali ambayo nimemuona nayo,yan,ana huzuni na anaonekana ni m2 ambae amekata tamaa hata ya kuishi,huyu dogo amemalza kidato cha 6 mwaka huu pale galanos sec school-tanga,na ana dvision 1.7 amechaguliwa kusoma bsc with geology hapa ud,lakn cha kushangaza kama co cha kuckitsha,eti loans board wamemuambia ni previous loanee,yan ameishaga wahi pewa mkopo na wkt ndo kamalza 4m 6 mwaka huu,katka kumdadc dogo,nkagundua ni mmoja wa vijana toka familia za kimaskin sana,kanambia amefka dar tangu ijumaa lakn tangu amefka mambo hayaelewek,ye mwenyewe mbali na nauli alyokuwa nayo alikua na laki 1 na 20 ya kufanyia regstration,hapo hajalipa cost zngne za chuo na ada maana hana bumu...hana pa kulala,wel, kwa sababu me nna rum kitaa nimeamua kumsave,atalala na atakula bt mstakabali wake wa registration ndo ngoma,as anatakiwa kulipa nusu ya ada ndo aweze kusajiliwa...jaman hvi loans board wako seriouz na kazi kweli au vp maana wa2 kama hawa ndo walitakiwa kupewa vipaumbele??

Dah, Mkuu Mungu akuongezee sana. kuhusu suala la mkopo mwambie asikate tamaa apigane mwanzo mwisho naamini atafanikiwa kwa uwezo wa M/Mungu.
 
uandishi wako mbovu. Nimeshakukanya mara nyingi. Hivi chuo si mnasoma "communication skills"! Mmefundishwa upuuzi huu.

we mzee cjui ni shoga au bwabwa!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom