GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,418
- 108,518
Katika hali isiyokuwa ya kawaida jana Mfanyabiashara mmoja mkubwa tu wa Mkoa wa Mtwara na ambaye pia ana Kampuni yake kubwa hapa nchini alisababisha Ukumbi mzima wa IKULU kupata ' mshtuko ' mara baada ya kupewa muda wa Kuzungumza yake na ambapo alisema mengi lakini kubwa alilolitilia ' mkazo ' ni pale aliposema kwamba Wasomi wengi wenye Masters Degree na hadi PhD wanaoomba Kazi Kwake hawajui Kuandika Barua zao za Kazi na kuandaa pia CV zao hali ambayo humlazimu wakati mwingine Yeye kama ' Muajiri ' kuzirekebisha.
Elimu ya Tanzania iangaliwe kwa umakini tafadhali.
Nawasilisha.
Elimu ya Tanzania iangaliwe kwa umakini tafadhali.
Nawasilisha.