Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Ningekuwa mimi ningewafungulia kesi ya shambulio la kudhuru mwili na matusi ya nguoni baada ya kuripoti polisi na kupewa PF3. Baada ya hapo nahakikisha wanafungwa kisha wakapasuliwe masaburi yao na mashefa ya jela tehe tehe tehe.habari zenu wana jf.. Jana kunakitu kimenikera sana, nilipokuwa nikitoka kazini mida ya sa4 nilipita eneo fulani nikakuta vijana kama sita wakiwa mamemfunga kijana mwingine kamba miguuni na mikononi huku wakimpiga kama mwizi nilipojaribu kusogea kuuliza kuna nini wakajibu "huyu jamaa kamchukulia msela wetu demu" nikajitahd kuamua huku nikiwatsha naita polis kweli wakamuacha lakini jamaa ameumia sana na nilipomuhoji akasema yule demu ndo alimfata akamtaka wawe wapenzi. Hadi sasa jamaa yuko hospitali anauguza majeraha. Hivi wenzangu ni halali kuumizana kwa ajili ya mapenzi? Naomba kuwasilisha