hivi vitoto vikibalehe vinakimbilia kuoa ni tabu tupu yaani kinamaliza 4 kinaenda kufanya ujenzi au kinakamata bodaboda vijisent vikianza kumkubali vinapangisha vinaoa unakuta ana miak 20 ndio anakuja kuleta maswali ya kipuuzi huku. Sasa mimi nakwambia huyo demu anakupenda sana apo alikua anakupima na wew kama unampenda swaini kabisa
Huyu jamaa naona anatudhalilisha sisi wanaume....hahaaaaa wanaume wameisha aiseee"" yaelekea huna nguvu za kiume nenda Gym kapige tizi ili uziongeze"" jinga kabisaaa
Ukiona manyoya jua kashaliwa. Hata hlo unahtaja ushaur mkuu. Mrudshe huku ulkomtoa. Utafute mwngne.Nilimpata Mke wangu kwenye platform hii! Lakini amekuwa pasua kichwa mno
Akikosa inabidi nimwombe msamaha
Leo nimekuta chati ndefu ya kimahaba na mwanaume mwingine whatsapp. Nimemwomba simu yake kazingua. Nikaamua kumnyang'anya na kuisoma. Amenimind noma
Nafanyaje sasa. Kwani hataki hatakuongea na Mimi. Nimemkomalia anieleze, Anasema hakuwa na nia mbaya Bali alikuwa anajifurahisha kuchati kimapenzi na mwanaume huyo
Hivi inawezekana ikawa ni kweli anachosema!? Kama ni kweli kwanini anizuie kuona simu yake?
Naombeni ushauri kwani tumelala mzungu wanne sasahivi
Sasa hapo bado ww unataka tochi ujue nini kinaendelea kweli.Nilimpata Mke wangu kwenye platform hii! Lakini amekuwa pasua kichwa mno
Akikosa inabidi nimwombe msamaha
Leo nimekuta chati ndefu ya kimahaba na mwanaume mwingine whatsapp. Nimemwomba simu yake kazingua. Nikaamua kumnyang'anya na kuisoma. Amenimind noma
Nafanyaje sasa. Kwani hataki hatakuongea na Mimi. Nimemkomalia anieleze, Anasema hakuwa na nia mbaya Bali alikuwa anajifurahisha kuchati kimapenzi na mwanaume huyo
Hivi inawezekana ikawa ni kweli anachosema!? Kama ni kweli kwanini anizuie kuona simu yake?
Naombeni ushauri kwani tumelala mzungu wanne sasahivi
Ghkaaaaa!!! Jamani!!!!?naona umeamka kukujoa
Mpe katafunua huyo,halafu unamtia unampa msaada wa tanganyika jerkInatia huruma kuwa na rafiki au ndugu kama huyu manake hujui umzabe kelabu au umpe katafunua.
Unadhani ndo chanzo hiko cha kukufanyia ivo!Pesa sina
huyu Jamaa KAvurugwa aisee...eti bila haya kabisa anakuja kuuliza huku kama alivhoambiwa na mkewe kina ukweli "" wakati kazifumania text kabisaa"" wakichat habari za matusi ""Huyu jamaa naona anatudhalilisha sisi wanaume....
Kwanza kosa kubwa ni kumwamini mwanamke ambaye umemuokota mtandaoni....
Yaani kufikia muda huo angekuwa MOI amefungwa mwili mzima na plastar of paris....
Shenzi kabisa huyo Harlot .....
hahahaaFanya hiviView attachment 774522