Unaweza kumkwepa mwarabu lakini siyo mzungu........mzungu ni kama maji!Wamekuwa wakitoa maneno na semi nyingi sana za kuwakebehi wazungu kisa kumkubali Tundu Lissu ,lkn leo hii wamekuwa marafiki!kweli ccm muwekage akiba ya manenoView attachment 1010366
In God we Trust
kama hujui unakokwenda njia yeyote itakufikishaWamekuwa wakitoa maneno na semi nyingi sana za kuwakebehi wazungu kisa kumkubali Tundu Lissu ,lkn leo hii wamekuwa marafiki!kweli ccm muwekage akiba ya manenoView attachment 1010366
In God we Trust
Kinyesi ni kilekile tuu ila akinya bata anaambiwa kaharisha....Wamekuwa wakitoa maneno na semi nyingi sana za kuwakebehi wazungu kisa kumkubali Tundu Lissu ,lkn leo hii wamekuwa marafiki!kweli ccm muwekage akiba ya manenoView attachment 1010366
In God we Trust
Mbuzi dume pia anaitwa beberu kwahiyo unaangalia tu unataka kutumia jina gani kwa wakati ganiWamekuwa wakitoa maneno na semi nyingi sana za kuwakebehi wazungu kisa kumkubali Tundu Lissu ,lkn leo hii wamekuwa marafiki!kweli ccm muwekage akiba ya manenoView attachment 1010366
In God we Trust
Kazi kweli kweli!Lazima wanyenyekee maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai
In God we Trust
inawezekana kabisaHahahaha....kwahiyo Hapi yupo na mbuzi dume, balozi akienda juongea na Mnyika anakua beberu.
Gudigudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma historia!? Unafahamu neo-colonialism ninini? Au kwa kibantu ukoloni mambo leo?Watu wako bize kufanya mipango ya maendeleo kwenye mikoa yao,mwingine yupo bize nje ya nchi akimtangaza Magufuli na maendeleo aliyofanya huku akifikiri anamuharibia.
Watu wako bize kufanya mipango ya maendeleo kwenye mikoa yao,mwingine yupo bize nje ya nchi akimtangaza Magufuli na maendeleo aliyofanya huku akifikiri anamuharibia.