Imekuwaje tena Mabeberu kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa?

Taratibuuu

"ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ ᵗᵒ ᵏⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ"
Sasa Beberu Mwitu wewe uko nchi gani hasa? maana mabeberu tunawajua wanatoka nchi gani
 
Humtaki beberu lakini chumbani kwako unamkaribisha kwa mazungumzo ya faragha, duh!
 
Wamekuwa wakitoa maneno na semi nyingi sana za kuwakebehi wazungu kisa kumkubali Tundu Lissu ,lkn leo hii wamekuwa marafiki!kweli ccm muwekage akiba ya manenoView attachment 1010366

In God we Trust

Mzungu akikushika pabaya huwa anakushika pale pabaya kweli na ni lazima tu utamlamba miguu yake na ikiwezekana hata akikuambia umfulie na Chupi yake utafanya hivyo bila wasiwasi.
 
Nimeamini mkuu kwa haya yanayoendelea ndani ya lumumba juu ya mabeberu
Mzungu akikushika pabaya huwa anakushika pale pabaya kweli na ni lazima tu utamlamba miguu yake na ikiwezekana hata akikuambia umfulie na Chupi yake utafanya hivyo bila wasiwasi.

In God we Trust
 
Wamekuwa wakitoa maneno na semi nyingi sana za kuwakebehi wazungu kisa kumkubali Tundu Lissu ,lkn leo hii wamekuwa marafiki!kweli ccm muwekage akiba ya manenoView attachment 1010366

In God we Trust
Your argument is just too simplistic. Start attending debating clubs if you didn't do so during your secondary school days assuming that you managed to be there.
 
Mdau wa maendeleo/ beberu
FB_IMG_1549079332677.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawasemaga vibaya wakiwa majukwaani ila wakiwa nao wanawaita Wanaume Kabisa

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
 


Hapi ni lazima katembelewa na huyo balozi kwa lile sakasaka la kumuweka ndani mzungu( beberu).

Ni lazima mzungu kalalamika ubalozini kwake.

Siyo bure, balozi huyo ni lazima kampa za uso, kistaarabu, kuwa watu hao wanaweza kurudi makwao.
 
Basi huyo ndiyo rais wetu 2020 hutaki kanywe panadol upunguze maumivu

In God we Trust
Hakuna mtanzania timamu atakayemcha Rais eti anataka uhuru wa kuongea aache kiongozi mwenye sera zinazoangalia maslai yake.

Labda badilisheni gia angani uhuru wa kuongea ni maslai ya wanasiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom