Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,083
- 13,961
Sijasoma history nipe madini.Umesoma historia!? Unafahamu neo-colonialism ninini? Au kwa kibantu ukoloni mambo leo?
Jr
Sijasoma history nipe madini.Umesoma historia!? Unafahamu neo-colonialism ninini? Au kwa kibantu ukoloni mambo leo?
Jr
njaa haina baunzaWamekuwa wakitoa maneno na semi nyingi sana za kuwakebehi wazungu kisa kumkubali Tundu Lissu ,lkn leo hii wamekuwa marafiki!kweli ccm muwekage akiba ya manenoView attachment 1010366
In God we Trust
Kama mnalijua hilo mbona mnatokwa na mapovu juu ya ziara za rais wetu wa 2020?View attachment 1010443
In God we Trust
Lissu yuko ziarani ughaibuni kivyake lakini hawa ni viongozi wa serikali wakijivunia kupiga picha na mbuzi dume wakijinasibu ushirikiano... Mjerumani ni mbuzi dume anarejea kwa mlango wa uani.... Hawa viongozi watasaini mikataba kama aliyosaini tu chifu Mangungo wa MsoveroSijasoma history nipe madini.
Hakuna mipango ya maendeleo chini ya udikteta, wizi, dhuluma, ufisadi, ubadhirifu na kukiuka taratibu mbali mbali nchini ikiwemo kuheshimu katiba na mihimili mingine muhimu.
Umesikia tayari wameshakwapua 2.4 trillions kutoka hazina.
Kama ni mganga kampata, maana amejitoa kwenye timu ya Lumumba fuata mkumbo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anafanya vema siku hizi.Hata mimi siku ya kwanza kuona hatua aliyo ipiga kifikra nilimpongeza sana
In God we Trust
Halafu usikute hadi alimuamkia shikamoo beberu!
TaratibuuuHalafu usikute hadi alimuamkia shikamoo beberu!
Na jibu bila shaka lilikuwa MARAHABA BEBERU!!! Kwa hiyo hapo kuna utata nani hasa ni beberuHalafu usikute hadi alimuamkia shikamoo beberu!