Ni kuhusu mjomba wangu.
Ni kijana mwanaume wa miaka 19.
Mwaka jana mwezi wa saba aliiba shilingi milioni moja na nusu nyumbani kwao.
Aliitumia ndani ya wiki moja na kuimaliza.
Alishikwa akapelekwa central,akakaa kama wiki mbili hivi.
Dada yangu alikuwa na mawazo hadi blood psessure ilikuwa ikipanda.
Kwa upendo aliokuwa nao dada yangu kwa mwanae walimtoa central na kumsamehe.Lakini leo kaiba tena laki moja nyumbani kwao.
Dada amekuwa na mawazo sana akijuta kumzaa.
Kama ni shule kijana huyo akiulizwa anasema bado anataka.
Dada amempeleka kwenye maombi lakini bado habadiliki.
Anaomba ushauri wenu kwan kama kumpenda anampenda sana lakini ndo hivyo anampa hasara....
Ni kijana mwanaume wa miaka 19.
Mwaka jana mwezi wa saba aliiba shilingi milioni moja na nusu nyumbani kwao.
Aliitumia ndani ya wiki moja na kuimaliza.
Alishikwa akapelekwa central,akakaa kama wiki mbili hivi.
Dada yangu alikuwa na mawazo hadi blood psessure ilikuwa ikipanda.
Kwa upendo aliokuwa nao dada yangu kwa mwanae walimtoa central na kumsamehe.Lakini leo kaiba tena laki moja nyumbani kwao.
Dada amekuwa na mawazo sana akijuta kumzaa.
Kama ni shule kijana huyo akiulizwa anasema bado anataka.
Dada amempeleka kwenye maombi lakini bado habadiliki.
Anaomba ushauri wenu kwan kama kumpenda anampenda sana lakini ndo hivyo anampa hasara....