Imekumbukwa TANU na Tanganyika ikumbukwe

GHIBUU

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
4,432
3,006
Nimeshangazwa kuona viongozi wa ccm inapofika siku ya uhuru wa tanganyika hujidai kuwa ni uhuru wa tanzania,kwa kweli nashindwa kuelewa,tanzania imejipatia uhuru siku gani ? Sasa hivi kuna mzozo wa muungano wazanzibari tunadai muungano uvunjwe au tuje na mfumo ule ume wa serikali tatu,mbona kikwete sijamsikia kuikumbuka tanganyika .

Hii tanganyika watanganyika imewafanya nini ? Na kama tanganyika ndio hii tanzania tuwambieni ili tuweze kuunda serikali mpya ya muungano kwani hii tanzania kwa kuona kwangu ni tanganyika.
1613330.jpg Nembo hii sasa tunatumia kuwa ya muungano tanzania jee hapa kuna kiini macho kuwa tanzania ni hii tanganyika ?

9440474.png Nembo hii sasa tunatumia ndio ya tanzania,si ndo ile ile ya tanganyika ?

Watanzania na wazanzabri naomba mulichambue hili suala,munawafiki kama serikali ya muungano wa tanzania ni ile ile tanganyika au ni tanzania mpya ?
 
Hivi hii Tanganyika ninyi Wazanzibari imewafanya nini? Tanganyiko ipo live ndani ya Tanzania. Huoni?
 
Nimeshangazwa kuona viongozi wa ccm inapofika siku ya uhuru wa tanganyika hujidai kuwa ni uhuru wa tanzania,kwa kweli nashindwa kuelewa,tanzania imejipatia uhuru siku gani ? Sasa hivi kuna mzozo wa muungano wazanzibari tunadai muungano uvunjwe au tuje na mfumo ule ume wa serikali tatu,mbona kikwete sijamsikia kuikumbuka tanganyika .

Hii tanganyika watanganyika imewafanya nini ? Na kama tanganyika ndio hii tanzania tuwambieni ili tuweze kuunda serikali mpya ya muungano kwani hii tanzania kwa kuona kwangu ni tanganyika.
View attachment 33473Nembo hii sasa tunatumia kuwa ya muungano tanzania jee hapa kuna kiini macho kuwa tanzania ni hii tanganyika ?

View attachment 33474Nembo hii sasa tunatumia ndio ya tanzania,si ndo ile ile ya tanganyika ?

Watanzania na wazanzabri naomba mulichambue hili suala,munawafiki kama serikali ya muungano wa tanzania ni ile ile tanganyika au ni tanzania mpya ?

Wewe huna macho? hiyo ni nembo ya CCM, na rangi zake unaziona ni uthibitisho wa hilo. Chadema hawana chao hapo.
 
Wewe huna macho? hiyo ni nembo ya CCM, na rangi zake unaziona ni uthibitisho wa hilo. Chadema hawana chao hapo.
haha ahsante kaka

Hata ukiangalia bendera ya tanzania ni ya ccm.
Nembo ya tanzania ya ccm

Nafikiri sasa hivi tulete hoja tuirudishe tanganyika ikiwa inawalilisha wananchi wote na nembo,bendera,passport zisitumike rangi za vyama vya siasa ikaonekana kuwa serikali ni chama fulani.

Hata serikali ya muungano vile vile.
 
Hivi sherehe za TANU huwa zinafanyika kila mwaka? maana nimeona mkesha usiku wa kuamkia leo tukaambiwa ni sikukuu ya TANU. Au ndo CCM kishapoteza mvuto kiasi cha kuitamani Tanu? Sikukuu ya ASP itakua lini?
 
Mimi naona CCM wanasweweseka tu hawajui wapi pa kuanzia sababu wameshaharibu kila kitu. Wanadhani wakikumbusha mambo ya TANU watu wata sympathise nao HAKUNA hapa CCM mmetutia umaskini sana Kizazi hiki hakijui sijui TANU sijui ASP tunachojua ni kwamba CCM ni wezi, ndio tena wa mali ya umma. hebu angalia alichofanya chenge! ni kweli kinakubalika?
 
Mimi naona CCM wanasweweseka tu hawajui wapi pa kuanzia sababu wameshaharibu kila kitu. Wanadhani wakikumbusha mambo ya TANU watu wata sympathise nao HAKUNA hapa CCM mmetutia umaskini sana Kizazi hiki hakijui sijui TANU sijui ASP tunachojua ni kwamba CCM ni wezi, ndio tena wa mali ya umma. hebu angalia alichofanya chenge! ni kweli kinakubalika?
Kijana wa leo mwenye uchungu na nchi yake hatoenda sherehe ya TANU,hiii inaonyesha kuwa sasa kuna haja ya kuikumbuka tanganyika na kuifufua tanu,washajua kuwa muungano unaenda na maji,serikali ya muungano imeapa kuulinda kwa nguvu zote,na wazanzibari wanasema hwatishi na sauti ya nyao muungano tutauvunja.
 
haha ahsante kaka

Hata ukiangalia bendera ya tanzania ni ya ccm.
Nembo ya tanzania ya ccm

Nafikiri sasa hivi tulete hoja tuirudishe tanganyika ikiwa inawalilisha wananchi wote na nembo,bendera,passport zisitumike rangi za vyama vya siasa ikaonekana kuwa serikali ni chama fulani.

Hata serikali ya muungano vile vile.

Hata rangi ya TANESCO ni CCM, ndio maana kila siku wanafanya madudu kutokana na laana ya Rangi wanazotumia.

Sitashangaa hata Yanga ikishindwa kuifunga Simba kutokana na rangi zake kulaaniwa
 
Back
Top Bottom