Imekuaje Mh. Jenista Mhagama kutogombea unaibu Spika?

amba.nkya

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
446
131
Nimekuwa nafuatilia kwa ukaribu tangu mchakato wa uchaguzi wa Spika na Naibu Spika. Kama sikosei, Mh Jenista Mhagama alikuwa mgombea pekee (CCM) kwa nafasi ya unaibu wa spika hadi siku ya mwisho kurejesha fomu. Nashindwa kuelewa imekuaje Mh. Jenista Mhagama kutogombea unaibu Spika na badala yake Mh Job Ndugai? Na kwanini waliongeza muda wa kurejesha fomu kwa wagombea wengine wakati muda ulikwisha?

WanaJF wenye uelewa wa suala hili, naomba ufafanuzi zaidi.:peep:
 
Hilo sishangai kwa ccm. Ni sawa na kutangaza zabuni harafu ukiona muda wa mwisho umeisha bila kuona mtu unayetaka awepo unajifanya kuongeza!! Hakuna taratibu mbovu kama za nchi hii zinazobarikiwa na watawala wetu. Kama muda uliisha why extending, hakuna haki hata kidogo. Mh Mhagama alikuwa nahaki ya kuendelea mbele ya mchakato wa mbele.
Na Mh Ndugai, kote huko kwa nini anataka vyote, ni tamaa au nini wanaJF? Kama ulikuwa unataka uspika sasa tena unaibu, haoni hawatendei haki wenzake? Anyway, labda kuna kanuni inamruhusu kufanya hivyo.
 
Jamani haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya. Wazee walishaandaa mchoro na Jenista na Sita hawakuwemo kabisa. Walitaka Anna awe spika na ingekuwa ngumu tena kumweka mwanamke kuwa naibu spika. Simple logic
 
Jenista Mhagama hawezi kupawa kwa sababu:
  • Mtakumbuka mwaka jana walikwaruzana sana na shemeji yake JK yaani Hawa Ghasia kwa sababu ya kuhoji waalimu kadhaa wa Peramiho kutoajiriwa muda mrefu, lakini vigezo wakiwa navyo, Hawa alikukuruka hadi kutoa vielelezo vya uongo kuwa waalimu wale hawakuwa na sifa, lakini kesho yake mtoto wa kingoni alikuja na file lenye vyeti orijino vya waalimu.Mkumbuke wakati huo PM-pINDA NAYE ALIPEWA VIELELZO FAKE vya Hawa Ghasia na kudai Jenista ni MZUSHI.Baada ya saga lile aibu ilimwendea PM na waziri wake huku Jenista akiibuka shujaa bungeni.Asingeweza kupata opportunity ni mhanga kwa mafisadi
 
CCM Wamesema Gender balance spika mke, naibu spika mume!
:A S angry:
 
Jenista is perfect woman, but problem she was dating before with SUMAYE, who is against mutandao, are we together now member of JF
Sikukuu njema wandugu, waziri mkuu wetu ni PINDAAA!!
 
Back
Top Bottom