Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,904
Hii nchi ndio maana haiendelei.
Mambo ya ajabu ajabu ni mengi mno. Sheria hazifuatwi. Na kama zikifuatwa basi kuna double standard kubwa sana.
Sheria iko wazi kua ukikamatwa na madawa ya kulevya ni jela miaka 30. Na tumeona watu wengi wamekamatwa na magunia au misokoto ya bangi wako jela.
Chid Benz alikamatwa mkoani Dodoma akiwa na misokoto au kete za madawa ya kulevya aina ya cocaine na heroin, bangi pia lakini cha ajabu ameachiwa bila kupelekwa mahakamani na jela kwa ujumla.
Ina maana sheria za nchi hii zina macho kama risasi za hewani zinazopiga kona juu kwa juu, kwamba sheria zinachagua huyu afungwe huyu aachiwe.
Ilitakiwa iwe mfano kwa watoto na vijana wanaokua kua ukikamatwa na madawa ya kulevya huponi na mfano uwe high profile figures kama Chid Benz. Cha ajabu kaachiwa anakula good time mtaani akiendelea kubwia unga kama kawaida.
Chid hakua mtu wa kusamehe, hii sio mara ya kwanza wala ya pili, alitakiwa afungwe.
Kuna sababu nyingi zinasababisha nchi masikini kuendelea kua masikini, mojawapo ni hii ya kutoheshimu sheria na taratibu tulizojiwekea wenyewe. Waafrika hatuna displine kwenye kuheshim sheria.
Maendeleo tutaendelea kuyaona kwenye tv.
Mambo ya ajabu ajabu ni mengi mno. Sheria hazifuatwi. Na kama zikifuatwa basi kuna double standard kubwa sana.
Sheria iko wazi kua ukikamatwa na madawa ya kulevya ni jela miaka 30. Na tumeona watu wengi wamekamatwa na magunia au misokoto ya bangi wako jela.
Chid Benz alikamatwa mkoani Dodoma akiwa na misokoto au kete za madawa ya kulevya aina ya cocaine na heroin, bangi pia lakini cha ajabu ameachiwa bila kupelekwa mahakamani na jela kwa ujumla.
Ina maana sheria za nchi hii zina macho kama risasi za hewani zinazopiga kona juu kwa juu, kwamba sheria zinachagua huyu afungwe huyu aachiwe.
Ilitakiwa iwe mfano kwa watoto na vijana wanaokua kua ukikamatwa na madawa ya kulevya huponi na mfano uwe high profile figures kama Chid Benz. Cha ajabu kaachiwa anakula good time mtaani akiendelea kubwia unga kama kawaida.
Chid hakua mtu wa kusamehe, hii sio mara ya kwanza wala ya pili, alitakiwa afungwe.
Kuna sababu nyingi zinasababisha nchi masikini kuendelea kua masikini, mojawapo ni hii ya kutoheshimu sheria na taratibu tulizojiwekea wenyewe. Waafrika hatuna displine kwenye kuheshim sheria.
Maendeleo tutaendelea kuyaona kwenye tv.