mie nasikiaga zinatafutwa hizi ndio maana kuna za kuziboost...
Taratibu ndiyo mwendo.Unavumilia ,with time INAZOELEKA,inakuwa palatable.Ila mdau nadhani alikuwa na haraka sana na alikosa ubunifu.NAZUNGUMZA KWA UZOEFU.Sio siri naona mdada alizidiwa hadi kuamua kurudi kwao, mzee alifungasha vibaya mnoo! Nadhani rungu likizidi ukubwa inakuwa kero sasa, maana mdada alikuwa anaumia kila siku badala ya kupata raha.
mie nasikiaga zinatafutwa hizi ndio maana kuna za kuziboost...