Mgonga Like
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,250
- 1,641
Mda mwingine waga nawaza akili zenu zipo sehem gani maana hazifanyi kazi ipasavyo!Ujue chadema hamna ajenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mda mwingine waga nawaza akili zenu zipo sehem gani maana hazifanyi kazi ipasavyo!Ujue chadema hamna ajenda
Ahsante mkuu.View attachment 1776026
KENZY,
..unamuona Rais Chakwera wa Mlw alipotembelea Tz alipewa MPAMBE toka Jwtz?
..kilichotokea kwa Mama Samia alipokwenda Kny na kupewa mpambe toka Kdf ni jambo la kawaida.
Baadhi ya watu sijui mnaumwa utindio wa ubongo! Inamaana kuhoji ni ujuaji..?Hii nchi ina vichaa wengi sana wanaojifanya wajuaji.
Juzi mmoja kaja hapa eeehh inakuwaje Rais wetu apokelewe na Waziri wa mambo ya nje!!!!
Hata kukujibu naona kazi ila shortly fahamu kuwa watu wanajua kuliko wewe unayejifanya unajua kisa kijiweni kwako wanakuona kichwa.
Swali ulilouliza ni la ajabu mkuu .. sorry lakini kwa kusema hivi maana inaonekana una hasiraBaadhi ya watu sijui mnaumwa utindio wa ubongo! Inamaana kuhoji ni ujuaji..?
Mkuu huo utaratibu sidhani Kama unafanyika kwa viongozi wote mfano rais wa marekani ama Russia!
Ifike hatua watu muwe mnafikiri vyakutosha sio unaandika tu.
Mimi mwenyewe nasubiri jibu🤣
Yuko serious mwenzio ujue?
Baadhi ya watu sijui mnaumwa utindio wa ubongo! Inamaana kuhoji ni ujuaji..?
Mkuu huo utaratibu sidhani Kama unafanyika kwa viongozi wote mfano rais wa marekani ama Russia!
Ifike hatua watu muwe mnafikiri vyakutosha sio unaandika tu.
Maza nae ung'eng'e wake ni wa kutafuta na tochi
Nimemkubali.Rostam yai lake ni first classMaza nae ung'eng'e wake ni wa kutafuta na tochi
Maza nae ung'eng'e wake ni wa kutafuta na tochi
Tuvumiliane tu ndugu. Kuna issue unaweza kuiona ndogo sana lakini mwingine kwake ni tofauti ndio maana ANASHANGAA.Hii nchi ina vichaa wengi sana wanaojifanya wajuaji.
Juzi mmoja kaja hapa eeehh inakuwaje Rais wetu apokelewe na Waziri wa mambo ya nje!!!!
Hata kukujibu naona kazi ila shortly fahamu kuwa watu wanajua kuliko wewe unayejifanya unajua kisa kijiweni kwako wanakuona kichwa.
Mkuu ahsante kwa ufafanuzi..Mkuu KENZY
Pole sana. Umeuliza swali lakini badala ya kujibiwa umeishilia kuambiwa swali la kijinga.
Nitakueleza kwa kadri ninavyojua:
Ulinzi wa viongozi wakuu wa nchi wanaotembelea katika nchi za kigeni unakuwa chini ya idara mahususi kwa ulinzi wa viongozi wa Umma katika nchi mwenyeji. Mfano, akitembelea Tanzania basi ulinzi unakuwa chini ya TISS.
Vivyo hivyo utambue kuwa Mpambe wa Rais (ADC), ni muwakilishi wa jeshi husika mahala popote alipo Rais.
Sasa kwa Protokali, Rais anapokuwa ugenini basi jeshi la nchi husika ndiyo linawakilishwa. Na ndiyo maana, akiwa katika shughuli maalum katika nchi husika basi huambatana na ADC kutoka katika jeshi la nchi husika.
Walinzi wake alioambatana nao pia huwepo katika ulinzi lakini kwa muongozo wa ulinzi aliopewa katika nchi husika.
Hii ni kwa sababu, ulinzi hauanzii kwenye ule mzunguko tu unaouona.. Ulinzi huanzia kwa ukusanyaji wa intelijensia, uchakataji wa taarifa na ulinzi wenyewe. Ile circle ni hatua ya mwisho kabisa.
Sasa, wenye jukumu la kufanya hivyo ni idara husika katika nchi husika.. Kufanya ujasusi ndani ya nchi nyingine ni kosa kubwa sana kidiplomasia..
Pia, walinzi wa maafisa wa Serikali wa nchi mwenyeji wanaufahamu zaidi wa mazingira wa nchi yao kuliko wageni.
Na pia kwa kuzingatia kuwa, Rais akipatwa na matatizo katika nchi ya kigeni basi wanaowajibika ni nchi mwenyeji. Kwa hiyo wana haki kuhakikisha usalama wa Rais na wasaidizi wake kwa kila namna..