Sioni umuhimu wa kujua kuhusu alienivunja bikra.........
I loved before.....I may Love again........ what matters ni
niko na wewe sasa......mengine ukiyajua utazidi kuumia sana
Kwangu mimi nadhani ni vyema kujua japo kwa uchache...
Tupo hivi tulivyo leo kwa sababu ya jana au juzi, kuna watu wana msingi ulio na mashaka unaowafanya leo hii wasiwe imara...
Sioni umuhimu wa kujua kuhusu alienivunja bikra.........
I loved before.....I may Love again........ what matters ni
niko na wewe sasa......mengine ukiyajua utazidi kuumia sana
kweli eeh!!?Jeh..?Aliekuvunja bkra akiomba kamchezo utampa??
^^
Sometimes Yes Sometimes No
^^
Hivi wadau wa MUM ni vizuri kuijua historia fupi ya Mapenzi ya mpenzi wako?Kwa mfano aliemtenda,aliempendaga sana,aliemvunja bkra na mengne mengi.Kama ni sawa inafaida gani kwenye Mapenzi na kama si sawa ni kwa nini?
Nawasilisha.
ni kweli,...Historia yaweza kujena msing bora wamapenz au kubomoa si ndio?
kweli eeh!!?Jeh..?Aliekuvunja bkra akiomba kamchezo utampa??
Sioni umuhimu wa kujua kuhusu alienivunja bikra.........
I loved before.....I may Love again........ what matters ni
niko na wewe sasa......mengine ukiyajua utazidi kuumia sana
Hivi wadau wa MUM ni vizuri kuijua historia fupi ya Mapenzi ya mpenzi wako?Kwa mfano aliemtenda,aliempendaga sana,aliemvunja bkra na mengne mengi.Kama ni sawa inafaida gani kwenye Mapenzi na kama si sawa ni kwa nini?
Nawasilisha.