Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha huko IGUNGA Aden Rage amepanda jukwaani akiwa amechomoa shati lkn upande uliokua na bastola akalichomea shati na bastola hiyo kuonekana na kila aliyekuwa mkutanoni, najiuliza NI NINI MAANA YA KUFANYA HIVYO? . Souce: gazeti la mwamanchi