zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
hv wadau imekaaje hii unakuta unamtambulisha demu wako kwa mshkaji wako afu baada ya muda mshkaji wako anakuibia demu ako wanamegana ila wanakubaliana iwe wanamegana kwa siri, au kama ni demu utamtambulisha bf kwa shosti zako then baada ya muda shosti anakuchukulia bf wako wanamegana tena wanakubaliana iwe siri?
hii imekaaje manake kwangu mimi huwa inakuwa ngumu sana kuwaza hilo limekaa vp
hii imekaaje manake kwangu mimi huwa inakuwa ngumu sana kuwaza hilo limekaa vp