Imekaaje hii? Viongozi wa CUF watambulishwa msikitini!

Kwa hiyo Lowasa akienda kanisani halafu mchungaji akimtambulisha kwa waumini wewe ukasikia nje kuna shida gani?.Acha kazi za akina shigongo
Kilichonishangaza, ukiachilia mbali viongozi hao kutambulishwa msikitini ni kwa nini viongozi hao ambao idadi yao haipungui 10 ni wa dini moja?
 
Inatokea tu mkuu hiyo siunajua hata kama wakristo wangekuwa wote wanasali kanisa moja piga mahesabu mbowe,slaa.Mnyika,nasari,sugu na wengineo wengi wamekutana kanisani mchungaji anawatambulisha halafu wewe unapita nje utasemaje kausha mkuu.
Kilichonishangaza, ukiachilia mbali viongozi hao kutambulishwa msikitini ni kwa nini viongozi hao ambao idadi yao haipungui 10 ni wa dini moja?
 
Chokochoko Udini na Fitina kilianzia msikitini na kitafia msikitini. Nyie mnaosema ni sawa, niambieni usawa u wapi. Kuna tofauti ya kumtambulisha Rais kanisani na kumtambulisha kiongozi wa chama.

Haya mambo Jussa aliyaweka wazi kule uzini, labda hamkusikia tu.
 
Inatokea tu mkuu hiyo siunajua hata kama wakristo wangekuwa wote wanasali kanisa moja piga mahesabu mbowe,slaa.Mnyika,nasari,sugu na wengineo wengi wamekutana kanisani mchungaji anawatambulisha halafu wewe unapita nje utasemaje kausha mkuu.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hao uliowataja na hawa waliokuwa wakitambulishwa. Uliowataja ni wabunge (viongozi wa wananchi), lakini hawa waliokuwa wakitambulishwa ni viongozi wa kichama zaidi. Na ile kukutana pale viongozi karibu 10 ilikuwa coincidence!?
 
mi naona mtoa hoja hii anataka kuleta udini tuuu hana lolote, kwani kuna ubaya gani kuwatambulisha, na wewe waalike wa kwako uwatambulishe kanisani kwenu kwani nani atakuuliza.. !! wameenda kula baraka bwana vipi wewe!!!
 
mi naona mtoa hoja hii anataka kuleta udini tuuu hana lolote, kwani kuna ubaya gani kuwatambulisha, na wewe waalike wa kwako uwatambulishe kanisani kwenu kwani nani atakuuliza.. !! wameenda kula baraka bwana vipi wewe!!!
Kama mawazo yako ndo yamekutuma hivyo sikuzuii kufikiria hivyo.
 
Kwa hiyo Lowasa akienda kanisani halafu mchungaji akimtambulisha kwa waumini wewe ukasikia nje kuna shida gani?.Acha kazi za akina shigongo

Soma theary vizuri uielewe mkuu, kutambulishwa hakuna shida ila kutangaza baraza la wajumbe wa siasa kwenye nyumba ya ibada hayaingiliani.
 
Mkuu ebu tufahamishe vizuri pale Magomeni Mapipa kuna msikiti wa Kichangani, sijui ulisikiaje na msikitini sehemu ya wanawake, wanaume marufuku? Halafu huyo msikiti sehemu ya wanawake ipo juu ghorofa ya tatu.

kumbe ulikuepo lakini unashindwa kuripoti huu utumb.o unafanywa huko
 
Kuna siku nilikuwa kanisani kwa ibada hapa Arusha wakati Mkapa akiwa rais. Baada ya ibada, padri akatuambia kwamba siku hiyo "tumebahatika" kushiriki ibada na rais na akamwomba asimame atusalimie. Wengi hatukufahamu kwamba alikuwepo pale kanisani. Akatusalimia na akasema amefurahi kushiriki ibada pamoja nasi.
Binafsi sikuona ubaya wowote. Na hata hao wa cuf, sioni ubaya maana hakukuwa na mwingiliano wa imani na siasa!
Mkapa alikuwa kiongozi wa serikali, kiongozi wa CUF hasa kutoka na status yao ya kisiasa sasa hata akija kwangu tutafanya nae mazungumzo yetu tukimaliza namsindikiza kimya kimya, hata kwa familia yangu simtambulishi.
 
Mkuu ebu tufahamishe vizuri pale Magomeni Mapipa kuna msikiti wa Kichangani, sijui ulisikiaje na msikitini sehemu ya wanawake, wanaume marufuku? Halafu huyo msikiti sehemu ya wanawake ipo juu ghorofa ya tatu.

Kwani mleta mada kataja jinsia yake? unajuaje ni mwanamama?:spy:
 
Acheni mambo ya Udini,Tujadili mambo ya kuiletea Nchi maendeleo na sio "Udini na Majungu"Ili kuiletea nchi yetu maendeleo kuna changa moto nyingi sana na wala hazihusiani na masuala ya dini, Au mnataka kusema na Mhe. Joshua Nassari nae anamaanisha CDM ni Ukristo?kwanini Shukrani wanaostahili ni watu wa dhehebu lake tu au ndio waliompigia kura?Ukianza kutafakari kila jambo kwa msingi ya mlengwa ni wa dini gani kumbuka Nchi yetu haiongozwi kwa misingi ya dini yoyote ila watu wake wanadini.




"Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Mhe. Joshua Nassari amewakutanisha watu karibu 4,000 kwa ajili ya kutoa sadaka mara ya shukurani baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki."Ibada hiyo ya shukurani ilifanyika katika Kanisa la FPCT Kilinga wilayani Meru, mkoani Arusha.Source: wavuti - wavuti
 
kweli ndugu zetu wakiristowatz usomi wetu unamashaka. DK SLAA padri, Mbunge wa Iringa mjini mchungaji, Mwakiyembe ofisi yake ipo kanisani. Sitta ni mzee wa kanisa hutoa kauli za serekali huko. Kosa la tz kuwa muislam? ndio maana Jk anaandamwa kwa kuwa muislam? Duh kwa usomi ndugu ndio maana tz inakuwa nchi isiombele na nyuma
 
Back
Top Bottom