Kukanyaga mafuta ndo nini?Mliachana kisa watu, kwahiyo sasa hao watu wote wamekanyaga mafuta..?
Avatar yako makini sanaUmemshika pabaya
Yaani iyo ndo shida kubwa mtu kakuendea kwa mganga ufe uoze kwake alafu eti anategemea muachane kirahisi rahisi tu, rudi kwa mganga tena ukaondoe limbwata lako uone kama atakukumbuka tenaMnapokwenda kwa waganga, muwe mnaulizia na expire date,maana hilo limbwata ulilomwekea ndo linakupa tabu sasa kwa sababu ulizidisha kipimo
😂 😂 😂Akiba haiozi, anakula huko anakuja kuwapondea ili ujae bichwa akule tena.... akiwasifia si utaanza kulialia so anajua usichokijua.