Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Kwani CDF na IGP wanachaguliwa na Nan?Dc ni commissioner,
Ana kamisheni ya rais katika wilaya anayosimamia,ndio maana anapigiwa saluti
Kwa uelewa wangu salute ni salamu!
Kwani CDF na IGP wanachaguliwa na Nan?Dc ni commissioner,
Ana kamisheni ya rais katika wilaya anayosimamia,ndio maana anapigiwa saluti
Si ndio hapooo,IGP anamsalute CDF mbali na kwamba wote anachaguliwa na rais.Kwani CDF na IGP wanachaguliwa na Nan?
Kwa uelewa wangu salute ni salamu!
Naongezea nyama hata angekufa raia tu wa kawaida.Na CDF ameshiriki kuaga mwili akiwa amevaa sare ni lazima apige salute.ni utaratibu tu, haumshushi CDF kwa namna yeyote ile. Hata akifa askari wa chini yake, hata koplo, maiti yake CDF ataipigia saluti. Ni utaratibu tu
Dah,hapa nimeikumbuka kauli ya kiongozi mmoja aliyesema
its very true, japo imekaa vibaya sana kwa baadhi ya matukio. Kuna wakuu wa wilaya na mikoa nchini ambao ni wanajeshi. Kicheo cha kijeshi, wako chini ya CDF, ila inambidi CDF ampigie saluti kwa vile huyu ni mwakilishi wa Amri jeshi mkuu.DC Ni muwakilishi wa President
Una uhakika gani kama mimi si miongoni mwao? CDF ametuabisha sana, anapigia salute MCHEPUKO? Aibu sana.siwezi kubishana na mtu ambaye hajui...desturi za kijeshi...
Ila awamu hii, mpaka ikiisha wanajeshi na polisi watakua adabu zimewashika.
JenisterIn no time Joketi atashika kati ya post zifuatazo:-
1. RAS
2. RC
Mark my word people.
pole...sanaUna uhakika gani kama mimi si miongoni mwao? CDF ametuabisha sana, anapigia salute MCHEPUKO? Aibu sana.
Duh!Kidoti ana smile
haamini kama k ina nguvu kuliko risasi
Hapo nahisi Mabeo anaweza hata kupigishwa push ups